bacha JF-Expert Member Aug 19, 2010 4,282 797 Feb 2, 2011 #21 ''Hivi unajua kuwa faulo zote za nje hazihesabiwi ????. kazi kwenu.'' uzuri wa away games ni kwamba, ushindi wake unakuhakikishia kuingia kwenye mzunguko wa pili, Hata ukicheza rafu,kadi nyekundu si rahisi kutolewa!!!!!
''Hivi unajua kuwa faulo zote za nje hazihesabiwi ????. kazi kwenu.'' uzuri wa away games ni kwamba, ushindi wake unakuhakikishia kuingia kwenye mzunguko wa pili, Hata ukicheza rafu,kadi nyekundu si rahisi kutolewa!!!!!
SHUPAZA JF-Expert Member Aug 4, 2009 562 23 Feb 2, 2011 #22 3.Hivi unajua kuwa faulo zote za nje hazihesabiwi ????. kazi kwenu. Hii kweli kabisa
Masikini_Jeuri JF-Expert Member Jan 19, 2010 6,829 1,296 Oct 22, 2011 #24 Tychicus said: Ninamaana kwanini wanaume hawataki kuoa???? Click to expand... Basi umejichanganya maana umeeleza hali za kuoa na kutooa and vice versa..........
Tychicus said: Ninamaana kwanini wanaume hawataki kuoa???? Click to expand... Basi umejichanganya maana umeeleza hali za kuoa na kutooa and vice versa..........
Felixonfellix JF-Expert Member Feb 16, 2010 1,672 182 Oct 22, 2011 #25 mhhhhhhhhhhh sijaona aliyetoa sababu kwa mujibu wa muuliza swali japo alitumia mafumbo mengi mpaka akalazimika kuweka wazi
mhhhhhhhhhhh sijaona aliyetoa sababu kwa mujibu wa muuliza swali japo alitumia mafumbo mengi mpaka akalazimika kuweka wazi