Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lazima kumtazama machoni kuona kama unadanganya.
tatizo la wakaka macho yenu mnakodolea kifuani tu!
Kwa nini mtu mnakuwa pamoja kila siku, mnazungumza mambo mengi tu, lakini anapotaka kuanzisha uhusiano wa kimapenzi anakuandikia kadi au sms. Kwa nini watu wanashindwa kuongea live!?
Kwa nini mtu mnakuwa pamoja kila siku, mnazungumza mambo mengi tu, lakini anapotaka kuanzisha uhusiano wa kimapenzi anakuandikia kadi au sms. Kwa nini watu wanashindwa kuongea live!?
Kwa nini mtu mnakuwa pamoja kila siku, mnazungumza mambo mengi tu, lakini anapotaka kuanzisha uhusiano wa kimapenzi anakuandikia kadi au sms. Kwa nini watu wanashindwa kuongea live!?
Dadaa kama wanaume wanafanya hivyo kwako sio jambo baya!Sisi asilimia 90 tunataka shavu tu,tukinogewa sana tunahalalisha!hivyo basi,mdada akiwa rafiki yako au ukijua anajiheshimu sana,hizo ndio gia!..lakini machangu tunaenda straight!!!Kwa nini mtu mnakuwa pamoja kila siku, mnazungumza mambo mengi tu, lakini anapotaka kuanzisha uhusiano wa kimapenzi anakuandikia kadi au sms. Kwa nini watu wanashindwa kuongea live!?
Kwa nini mtu mnakuwa pamoja kila siku, mnazungumza mambo mengi tu, lakini anapotaka kuanzisha uhusiano wa kimapenzi anakuandikia kadi au sms. Kwa nini watu wanashindwa kuongea live!?
Kuna wanaume pia wameumbwa na uso wa aibu
Tunawaita DOMO ZEGE
Kwani nini wawe DOMO ZEGE wakati najua wenzao ni ZOMO ZEZE?
Na hasa ukipenda unashindw akutamkaAibu wanaona
unamaanisha forecast?
Kwa nini mtu mnakuwa pamoja kila siku, mnazungumza mambo mengi tu, lakini anapotaka kuanzisha uhusiano wa kimapenzi anakuandikia kadi au sms. Kwa nini watu wanashindwa kuongea live!?
mbona kwenye 6x6 hakunaga aibu?Aibu wanaona
mbona kwenye 6x6 hakunaga aibu?
Ukiwa mbali unaona msitu, lakini ukishaingia msituni unaona miti na si msitu tena...Kwa nini mtu mnakuwa pamoja kila siku, mnazungumza mambo mengi tu, lakini anapotaka kuanzisha uhusiano wa kimapenzi anakuandikia kadi au sms. Kwa nini watu wanashindwa kuongea live!?
Kutongoza hakuna fomula... Kwani hao DOMO ZEGE huwa hawamegi? Hata hao wa domo zeze nao hawawezi kutumia njia zingine. Kuna sms, kadi au kila nikikuona nageuza njia lakini nahakikisha umeniona, at kila nikikuona nakukonyeza e.t.c suala ni kuvuta atension yake. MBONA MABUBU NAO HUWA WANACHAPA/CHAPWA NA WASIO MABUBU?Kwani nini wawe DOMO ZEGE wakati najua wenzao ni ZOMO ZEZE?