tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,122
- 534
Hapo ni kweli.wanapenda kulialia...hata kwenye vitu vinavowapa utamu wanalia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ni kweli.wanapenda kulialia...hata kwenye vitu vinavowapa utamu wanalia
Aiseee, ni kweli kabisa, hata kushangilia wao wanaji-exclude kabisa, thanks kwa nyongezaSiyo tu kulia Misibani bali hata kushangilia sana kwenye sherehe kama vile harusi, mahafali, sikukuu za kuzaliwa na nyinginezo. hii inatokana na wanawake kuwa na vionjo na hisia zaidi kuliko wanaume!.
Ni kweli bwana yaani hawa wanachagua matukio ya kulia, ila mazingira hayo asipolia ujue ana shida moyoni na unaweshangaa anadondoka na kuzimia ghaflaKuna wanaume wanalia...nilishawahi enda msiba huyo kaka alifiwa na mkewe mtarajiwa a week before harusi yao. Yule kaka alilia mpaka akazimia. So si kwamba wanaume hawalii completely misibani. Inatokea cases hulia pia.
Khaaa, kweli machungu hayajali tai!
Ni kweli bwana better ulie kuondoa machunguukilia unaondoa machungu then unasahau ila ukilia ndani kwa ndani uchungu unajilundika mwishowe unaugua vidonda vya tumbo, kisukari, shinikizo la damu n.k
Mhhhhhh!!!!!!!! sura hiyo angekuwa nayooo!!!!!!Huyu nani au ni Mizengo Kayanza???
Adam's appleWanawake hawana koromeo ndio maana wanalia ila men wanazo zinablock kilio.
Heri ya mwaka mpya wana jf woote
Mara nyingi nimekuwa najiuliza maswali mara niendapo kwenye msiba, wanawake huwa wanaliiiia kwenye msiba hata kama aliyekufa hawamjui, mwanamke atalia kwa uchungu na makamasi yatawatoka, lakini wanaume utawaona wapo tuu wanahangaika kufunga maturubai na kazi zingine.
Hivi umewahi kujiuliza kama mimi ni kwanini wanaume hawalii kwenye msiba?
Au kama kuna wataalam watujuze ni kwanini hasa, whyyyyyyy!!!!!!!