Kwa nini wanafunzi wengi wa kitanzania wanapenda kusoma sana kipindi cha mitahani?

Wanasoma ili wafaulu! We wataka wacsome ili wafeli ndo upate nn? Huh?
 
nasema ivyo coz elimu yetu ya kibongo na wezentu ni tofauti coz cc 2nasoma mambo mengi ambayo baadaye hatuyafanyii kazi wakati wenzetu huwa wanasomea k2 kimoja ambacho ktamuwezesha baadae.

Jiepushe na matumizi mabovu ya lugha namna hiyo, ndio maana unakosa michango yenye tija..
 
ni uzembe na kushindwa kujitambua...wanafunzi wengi wanashindwa kutambua kufaulu ama kufeli huanza siku ya kwanza unapoingia darasani na kumskiliza mwalimu...kusoma ni kila siku unajifunza unayaacha unajifunza mengine karibia na mtihani we unakua kazi yako ni kufanya revision na ukizingatia yale mambo uliyaelewa hukumeza utajikuta unaishia kupata A zote na B+ moja kama nilivyokwisha zoea...
 
Hakuna mtu anaependa kufeli lazima mtu aongeze effort ili afaulu
 
Ni mfumo mzima wa elimu ulivyo hapa TZ kusoma kufauru na si kuelewa kwani ukitaka kuelewa utafeli exmz na utaonekana kilaza then kuzima moto ndo deal kwa wengi.
 
Kwa wanafunzi kusoma wakati wa mitihani ni jambo la kawaida, haichagui nchi wala taifa. Hili unalosema si kwa Tz tu bali ulimwengu wote.
Tafauti na zamani wakati walimu walikuwa wanasomesha kwa dhati na wanafunzi kusoma kwa kujituma, sasa wanafunzi tangu siku ya kwanza wanakusanya notes, hawasomi, wanasubiri siku za mtihani wananunua vitabu vya "Nyambari Nyangwine" na kuanza kusoma. Kwa ajili ya kutaka mambo kirahisirahisi, sio tu wanasoma dakika za majeruhi, bali pia wanakopia ile mbaya.
 
kutokana na utafiti wangu nimeona wanafunzi wengi wanasoma sana wakati wa mitiani kwanini?nisaidieni kujibu.
ulikuwa unaandika journal, masters au phd??? any way rudi field tena au post kule face book!!!!
 
Back
Top Bottom