kutokana na utafiti wangu nimeona wanafunzi wengi wanasoma sana wakati wa mitiani kwanini?nisaidieni kujibu.
kutokana na utafiti wangu nimeona wanafunzi wengi wanasoma sana wakati wa mitiani kwanini?nisaidieni kujibu. Je kwa huo utafiti wako ni wanafunzi wa wapi hawapendi kusoma sana wakati wa mitihani?
mnaleta upupu humu ndani alafu unaita utafiti..kajipange upya.kutokana na utafiti wangu nimeona wanafunzi wengi wanasoma sana wakati wa mitiani kwanini?nisaidieni kujibu.
<br />Wanafunzi wengi wa Kitanzani. Dhidi ya wanafunzi wa Nchi gani nyingine uliyoihusisha kwenye tafiti zako?<br />
NWAY! Kiujumla! angalia serekali yetu. Kuna Mtu ana uelewa pale? Wote ni matunda ya kuegeshea na kumwaga kwenye mtihani ... Hakuna uelewa! Uelewa wenye kujenga utatuzi wa matatizo kwenye mazingira ya msomi huyo ....mf umeme nk !
<br />Umebuni.....we ni mkenya kwani unasema uongo au ulikosoma basi wote mlikuwa maboya tu na mnasomea mitihni
kutokana na utafiti wangu nimeona wanafunzi wengi wanasoma sana wakati wa mitiani kwanini?nisaidieni kujibu.
nasema ivyo coz elimu yetu ya kibongo na wezentu ni tofauti coz cc 2nasoma mambo mengi ambayo baadaye hatuyafanyii kazi wakati wenzetu huwa wanasomea k2 kimoja ambacho ktamuwezesha baadae.Wanafunzi wengi wa Kitanzani. Dhidi ya wanafunzi wa Nchi gani nyingine uliyoihusisha kwenye tafiti zako?
NWAY! Kiujumla! angalia serekali yetu. Kuna Mtu ana uelewa pale? Wote ni matunda ya kuegeshea na kumwaga kwenye mtihani ... Hakuna uelewa! Uelewa wenye kujenga utatuzi wa matatizo kwenye mazingira ya msomi huyo ....mf umeme nk !
nasema ivyo coz elimu yetu ya kibongo na wezentu ni tofauti coz cc 2nasoma mambo mengi ambayo baadaye hatuyafanyii kazi wakati wenzetu huwa wanasomea k2 kimoja ambacho ktamuwezesha baadae.