Wadau naomba kufahamishwa kwanini walimu wa Kenya wanaendelea na mgomo hata baada ya serikali kukimbilia mahakamani? Na walimu wa Tanzania walirudi kazini hata kabla ya rais wa chama chao kutangaza kurejea kazini. Mara baada ya mahakama kutangaza ubatili wa mgomo. Tofauti yake nini?