Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Uajenti wa shetani unakujaje? Niko kwenye Gari sketi inapanda, nifanyeje? Traffic kanusimamisha mimi nilijua ananikagua; kaomba nimsogeze mbele.
So Mungu alivyowaumba Adamu na Hawa wakiwa watupu, alikosea eeh!
kuna namna ya kuelezea tukio la bahati mbaya.
Wewe unaonekana kufurahia kuweweseka kwa huyo trafiki, ndo maana ukasema 'mpaka raha'
huko ni kuwa wakala wa shatwayn, si kusudi la binadamu kutumika na Ibilisi, wengi wetu imeshatutokea.
Ila mwenzetu unaifurahia hali hiyo...
I take my part kama mlokole mtarajiwa kukushauri uikemee roho ya yule mwovu.
Oops... Kumbe sio jukwaa la dini?