Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Mbona walimu enzi za Mwalimu walikuwa wanaheshimika sana?
Enzi hizo mwalimu mshahara wake unamtosha kula yeye na wanae nane, mke/mume, wakwe n.k
Hebu angalia sasa hivi kipato cha walimu jinsi kilivyo......wanaishi kama hayawani!
Na dharau inaanzia kwa wakubwa wao serikalini yaani utakuta mfagizi tu kwenye idara ya ualimu eti anamdharau mwalimu!! Hivi kwa hali hii kuna mtu atafanya kazi hii kwa moyo kweli?
Enzi hizo mwalimu mshahara wake unamtosha kula yeye na wanae nane, mke/mume, wakwe n.k
Hebu angalia sasa hivi kipato cha walimu jinsi kilivyo......wanaishi kama hayawani!
Na dharau inaanzia kwa wakubwa wao serikalini yaani utakuta mfagizi tu kwenye idara ya ualimu eti anamdharau mwalimu!! Hivi kwa hali hii kuna mtu atafanya kazi hii kwa moyo kweli?