Hii ni kutokana na benki yenyewe inavyotaka 'profit margins' na timing ya soko lenyewe.
Ukiwa na bargaining power kubwa huweza kuapata rate nzuri. Mfano leo nilikuwa nalipa randi ya s/africa, nilipiga barclays wakanambia 1zar=230 tshs, baada ya kubargain wakanipa kwa shs 224.
Kwa hiyo hakuna control katika hilo harta waisema 1USD wana-charge ka sh 800 ni sawa?