Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Kwa kweli nilikuwa kama mshabiki mkubwa wa DECI lakini nakiri kukufahamu...naomba hawa watu yaani serikali kama inavyowanyanyasa wananchi kwa nini wale viongozi waliokuwtwa na million 100/300 nk wasiende kupanda mbegu nao pale KEKO....sidhani kama lyumba amesambaza ukimwi kwa karibu robo ya watanzania na yuko keko kwa nini hawa wanoua watu kama mlivyoona mama yule amekufa kwa kupeleka pesa za urithi.......sioni kama wanatofauti na wale wahindi walioko na kesi ya mauwaji kule KEKO jamani.....tunaomba kama serikali wameshindwa waachie wananchi wafanmye kazi kwani wachungajji wanajulikana mpaka wanapolala vyumba vyao......\
wal msihangaike kuwatafuta
wal msihangaike kuwatafuta