king Chuga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 510
- 52
Huku JF hasa "Jukwa La Elimu" ukisoma mada nyingi ni za kukejeli chuo cha UDSM, ningependa kujua ni vigezo gani mnatumia wakati chuo chetu kimeshika nafasi ya 6 kwa ubora hapa Africa?
hapo kwenye red ndio swali la msingi lakini kwenye kijani hakuna mashiko, kwani chuo kua cha sita ndio kutakufanya utoke na first class?"Huku JF hasa "Jukwa La Elimu" ukisoma mada nyingi ni za kukejeli chuo cha UDSM, ningependa kujua ni vigezo gani mnatumia wakati chuo chetu kimeshika nafasi ya 6 kwa ubora hapa Africa?"
Huku JF hasa "Jukwa La Elimu" ukisoma mada nyingi ni za kukejeli chuo cha UDSM, ningependa kujua ni vigezo gani mnatumia wakati chuo chetu kimeshika nafasi ya 6 kwa ubora hapa Africa?
hapo kwenye red ndio swali la msingi lakini kwenye kijani hakuna mashiko, kwani chuo kua cha sita ndio kutakufanya utoke na first class?
Nafasi ya sita kwa mujibu wa nani?
Na ubora wa UDSM uko kwenye nini?
Nafasi ya sita kwa mujibu wa takwimu za vyuo 100 bora barani Africa.