Neno katika lugha linaweza kuwa na maana zaidi ya moja, chukulia "paa" Ndege inapaa. Paala nyumba yetu linavujisha/linavuja. Tulikwenda kuwindapaajana lakini hatukubahatika.
Kwa hiyo nenoota liko kama hilo paa. Katika maana yake moja ni kutafuta ujoto.
Wewe umetaja hapa kuota jua. Iko pia kuota moto
Hii link ninayoiweka hapa itakusaidia siku nyengine na katika kujifunza kiswahili kama ulivyosema kwenye mada yako Ingia hapa, bonyeza, bofya kiungo hiki :-
Nadhani wewe si mswahili wa Lugha fasaha! au wewe ni mswahili wa uongo na Umbeya?! Sorry ni utani!
Mimi ni scientist lakini nakumbuka kiswahili cha Olevel tulijifunza maana ya sentensi tata kwamba kuna maneno yanayoweza tumika zaidi ya mara moja.
Kaa: Kaa chini, Sehemu ya Mkaa, Mdudu wa Baharini!
Maneno kama Meza, nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.