Kwa nini tunaendelea kuwapigia kura viongozi ambao hawaperform ktk kipindi chao

kwanini tunaendelea kuwapigia kura

  • kwanini

    Votes: 1 100.0%
  • tunawapigia

    Votes: 0 0.0%
  • kura

    Votes: 0 0.0%
  • viongozi

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    1

FirstLady1

JF-Expert Member
Jul 29, 2009
16,792
5,374
Nashangaa nasikitika na sipati majibu kabisa
Hivi huwa ni akili zetu watanzania au ??
Tunaelewa kabisa huyu ni mbunge wetu whatever lakini katika kipindi chake cha miaka 5/10 or more hajafanya lolote zaidi ya kulala na kutowakilisha hoja zetu |Bungeni kijijini au maeneo yetu hayatamaniki ,hatuna maji ,umeme,barabara mbovu magari hayapiti ,hatuna mahospital ,kina mama wajawazito na watoto wanateseka ..ni matatizo yanayoonekana bila kificho
Inakuwaje bado tunaendelea kuwapigia kura na kuwaweka madarakani?:confused::mad:
Inakuwaje lakini??
 
Nashangaa nasikitika na sipati majibu kabisa
Hivi huwa ni akili zetu watanzania au ??
Tunaelewa kabisa huyu ni mbunge wetu whatever lakini katika kipindi chake cha miaka 5/10 or more hajafanya lolote zaidi ya kulala na kutowakilisha hoja zetu |Bungeni kijijini au maeneo yetu hayatamaniki ,hatuna maji ,umeme,barabara mbovu magari hayapiti ,hatuna mahospital ,kina mama wajawazito na watoto wanateseka ..ni matatizo yanayoonekana bila kificho
Inakuwaje bado tunaendelea kuwapigia kura na kuwaweka madarakani?:confused::mad:
Inakuwaje lakini??

Kwasababu ya laana tuliyonayo ya kutokujua tunachokifanya.
Kinachotakiwa ni maombi kwa ajili ya kuondoa laana kwanza baada ya hapo tuombe kwa Mungu atupe uwezo wa kujua kuchagua Viongozi watakao weza kutufanyia kazi na sio Viongozi tunaowafanyia kazi sisi kwa ajili ya kujaza matumbo yao.

Na waliochagua kwa ajili ya ushabiki wa chama inawabidi watubu kwa sababu ni dhambi kubwa sana waliotufanyia watanzania.
 
mbona hiyo poll haijakaa vizuri!ebu irekebishe maana sioni options!mi nadhani ni kwa sababu hatuoni mbadala ya hao wanaotutawala.yani nisipompigia nitampigia nani tena?wote walewale!nadhani tunahitaji mbadala wa hawa tulionao leo na sio upinzani njaa!
 
Nashangaa nasikitika na sipati majibu kabisa
Hivi huwa ni akili zetu watanzania au ??
Tunaelewa kabisa huyu ni mbunge wetu whatever lakini katika kipindi chake cha miaka 5/10 or more hajafanya lolote zaidi ya kulala na kutowakilisha hoja zetu |Bungeni kijijini au maeneo yetu hayatamaniki ,hatuna maji ,umeme,barabara mbovu magari hayapiti ,hatuna mahospital ,kina mama wajawazito na watoto wanateseka ..ni matatizo yanayoonekana bila kificho
Inakuwaje bado tunaendelea kuwapigia kura na kuwaweka madarakani?:confused::mad:
Inakuwaje lakini??


My darling first lady, Hivi Nilivokwambia sitapiga tena kura kumbe hukunielewa? Hata usipowapigia kura hao wadudu, lazima watashinda tu. Maboksi ya kura wametengeneza wao, wanayasafirisha wao, kura wanazihesabu wao, mawakala wanawalipa wao (kifisadi), mtangaza matokeo ni mtu wao, ukienda mahakamani utakuta watu wao, wanaapishwa na watu wao,........ Kila kitu chao. Unategemea nini?

Siku ya kupiga kura ungana nami kuchapa mtindi tuongeze damu mwilini kuliko kusimama juani kukausha damu mwilini buuuuuure wakati tutakaowapigia kura hata tufanye nini hawatatangazwa washindi.
 
Nashangaa nasikitika na sipati majibu kabisa
Hivi huwa ni akili zetu watanzania au ??
Tunaelewa kabisa huyu ni mbunge wetu whatever lakini katika kipindi chake cha miaka 5/10 or more hajafanya lolote zaidi ya kulala na kutowakilisha hoja zetu |Bungeni kijijini au maeneo yetu hayatamaniki ,hatuna maji ,umeme,barabara mbovu magari hayapiti ,hatuna mahospital ,kina mama wajawazito na watoto wanateseka ..ni matatizo yanayoonekana bila kificho
Inakuwaje bado tunaendelea kuwapigia kura na kuwaweka madarakani?:confused::mad:
Inakuwaje lakini??

Khanga, Vitenge, Tshirts, Pilau.......Wananchi either tumelogwa au we are simply not serious kuhusu maisha yetu.
Tunahitaji maombi ya kuvunja hii laana kwa kweli inauma sana!
 
Kwasababu wanakuja na takrima na somo la uraia hatulijui

Mkuu, hilo la takrima nakuunga mkono lakini hilo la somo la uraia......... hapana. Hapa hata ulijuaje somo hilo, bila kubadili system nzima kuanzia ya tume ya uchaguzi. Vimejaa wizi mtupu!
 
Wengine wanachaguliwa wakiwa wazuri tuu na wananchi wanawaamini, lakini akishaingia kwenye hiyo system anabadilika kama kinyonga.

Ila siasa ni mbaya ukiwa msema ukweli unachakazwa kama Mrema au unafatiliwa hadi uvunguni kama Mh. Slaa.
 
Nashangaa nasikitika na sipati majibu kabisa
Hivi huwa ni akili zetu watanzania au ??
Tunaelewa kabisa huyu ni mbunge wetu whatever lakini katika kipindi chake cha miaka 5/10 or more hajafanya lolote zaidi ya kulala na kutowakilisha hoja zetu |Bungeni kijijini au maeneo yetu hayatamaniki ,hatuna maji ,umeme,barabara mbovu magari hayapiti ,hatuna mahospital ,kina mama wajawazito na watoto wanateseka ..ni matatizo yanayoonekana bila kificho
Inakuwaje bado tunaendelea kuwapigia kura na kuwaweka madarakani?:confused::mad:
Inakuwaje lakini??
Sababu ni hizi.........

1. Kipindi cha uchaguzi ndiyo utaona TV zote zinaonyesha vita, huku zikitangaza kuwa kumchagua yeyote nje ya CCM ni kutaka vita. Kwa vile hatujazowea vita, lazima tuogope. We angalia mabomu ya mbagala yalivyotuhangaisha..............

2. Takrima au rushwa

3. Elimu ya uraia hatuna kabisa

4. Watanzania wanaojuwa haki zao kwa mujibu wa katiba ni wachache sana.

5. Mazoea.

6. We are actually fearing risks za kuiondoa CCM.

7. Wagombea wa upinzani huwa wanasimamishwa bila kuangalia kama wanakubalika eneo husika.

8. Kwa vile hatujui haki zetu, tunadhani tunavyopata vinatokana na uwepo wa CCM, hivyo kuwaondoa kunamaanisha kuvikosa. Usishangae kumsikia mtu akisema "CCM imekusomesha, imekuletea amani n.k.........."
 
mbona hiyo poll haijakaa vizuri!ebu irekebishe maana sioni options!mi nadhani ni kwa sababu hatuoni mbadala ya hao wanaotutawala.yani nisipompigia nitampigia nani tena?wote walewale!nadhani tunahitaji mbadala wa hawa tulionao leo na sio upinzani njaa!

mie hata sijui imekaaje maana imetokea tu wakati na post ikanipa option habu nifundishe kidogo Mtu wangu
 
Hii kitu mpya ya kuandaa documents zote za kupigia kura ndugu zangu kama kweli wizi wa kura upo masanduku ya kura zilizopigwa yapo tayari.

Labda wasimamizi na wahesabu kura wasiwe watanzania masikini wanaorubuniwa kwa baiskeli.

Naogopa kusema sana napoteza muda wangu. Nashawishika kutokukaa foleni kwa ajili ya kupiga kura.

Tangu nianze kupiga kura kura yangu haijawahi kushinda.
 
Kwasababu ya laana tuliyonayo ya kutokujua tunachokifanya.
Kinachotakiwa ni maombi kwa ajili ya kuondoa laana kwanza baada ya hapo tuombe kwa Mungu atupe uwezo wa kujua kuchagua Viongozi watakao weza kutufanyia kazi na sio Viongozi tunaowafanyia kazi sisi kwa ajili ya kujaza matumbo yao.

Na waliochagua kwa ajili ya ushabiki wa chama inawabidi watubu kwa sababu ni dhambi kubwa sana waliotufanyia watanzania.

kama ni laana kwa nini wote tusifunge katika dini zetu tukemee hii laanna ambayo imekithiri ??
 
Sababu ni hizi.........

1. Kipindi cha uchaguzi ndiyo utaona TV zote zinaonyesha vita, huku zikitangaza kuwa kumchagua yeyote nje ya CCM ni kutaka vita. Kwa vile hatujazowea vita, lazima tuogope. We angalia mabomu ya mbagala yalivyotuhangaisha..............

2. Takrima au rushwa

3. Elimu ya uraia hatuna kabisa

4. Watanzania wanaojuwa haki zao kwa mujibu wa katiba ni wachache sana.

5. Mazoea.

6. We are actually fearing risks za kuiondoa CCM.

7. Wagombea wa upinzani huwa wanasimamishwa bila kuangalia kama wanakubalika eneo husika.

8. Kwa vile hatujui haki zetu, tunadhani tunavyopata vinatokana na uwepo wa CCM, hivyo kuwaondoa kunamaanisha kuvikosa. Usishangae kumsikia mtu akisema "CCM imekusomesha, imekuletea amani n.k.........."


Grrrrrr!!!!! Mkuu unataka kutuambia hao wanaosimamishwa na CCM wanakubalika? Mgombea wa upinzani hata akubalike vipi, siku ya siku atapigwa mweleka!

Rejea uchaguzi wa 1995 NCCR Mageuzi ya kina Lamwai, Marando na Mrema walivyoliteka jiji la Dar badala yake uchaguzi wa Dar ukafutwa. Au angalia wa 2000 John Mnyika alivyomchachafya Keenja kule Ubungo na mizengwe ilivyoibuka. Ukitaka kushangaa zaidi rejea uchaguzi na matokeo ya Busanda na Biharamulo.

Mi nakwambieni niacheni nigome kupiga kura niiridhishe nafsi yangu! aggrrrrrr!!!
 
My darling first lady, Hivi Nilivokwambia sitapiga tena kura kumbe hukunielewa? Hata usipowapigia kura hao wadudu, lazima watashinda tu. Maboksi ya kura wametengeneza wao, wanayasafirisha wao, kura wanazihesabu wao, mawakala wanawalipa wao (kifisadi), mtangaza matokeo ni mtu wao, ukienda mahakamani utakuta watu wao, wanaapishwa na watu wao,........ Kila kitu chao. Unategemea nini?

Siku ya kupiga kura ungana nami kuchapa mtindi tuongeze damu mwilini kuliko kusimama juani kukausha damu mwilini buuuuuure wakati tutakaowapigia kura hata tufanye nini hawatatangazwa washindi.
ila am so confused inakuwaje katika akili ya kufikirika tunaendelea kufanya hivi .wakati mabadiliko matunda na mafanikio hayaonekani

kuna Mbunge mmoja kaja hapa wa CCM kanunua masanga kwa vijana vijana baada ya kulewa wakaanza kumzomea :)lakini kuzomea tu haisaidii ni vitendo zaidi ndo vinatakiwa ili kuleta mabadiliko ktk nchi hii
 
Khanga, Vitenge, Tshirts, Pilau.......Wananchi either tumelogwa au we are simply not serious kuhusu maisha yetu.
Tunahitaji maombi ya kuvunja hii laana kwa kweli inauma sana!

Tunadanganyika ??
 
Hii kitu mpya ya kuandaa documents zote za kupigia kura ndugu zangu kama kweli wizi wa kura upo masanduku ya kura zilizopigwa yapo tayari.

Labda wasimamizi na wahesabu kura wasiwe watanzania masikini wanaorubuniwa kwa baiskeli.

Naogopa kusema sana napoteza muda wangu. Nashawishika kutokukaa foleni kwa ajili ya kupiga kura.

Tangu nianze kupiga kura kura yangu haijawahi kushinda.

Umevaa viatu vyangu mkuu!
 
ila am so confused inakuwaje katika akili ya kufikirika tunaendelea kufanya hivi .wakati mabadiliko matunda na mafanikio hayaonekani
kuna Mbunge mmoja kaja hapa wa CCM kanunua masanga kwa vijana vijana baada ya kulewa wakaanza kumzomea :)lakini kuzomea tu haisaidii ni vitendo zaidi ndo vinatakiwa ili kuleta mabadiliko ktk nchi hii

Join me kugoma kupiga kura. Labda ndio solution pekee iliyobakia. Ikitokea mbunge kachaguliwa na watu mia kwenye jimbo lenye watu laki saba labda ulimwengu utashtuka halafu kitaeleweka.
 
Nashangaa nasikitika na sipati majibu kabisa
Hivi huwa ni akili zetu watanzania au ??
Tunaelewa kabisa huyu ni mbunge wetu whatever lakini katika kipindi chake cha miaka 5/10 or more hajafanya lolote zaidi ya kulala na kutowakilisha hoja zetu |Bungeni kijijini au maeneo yetu hayatamaniki ,hatuna maji ,umeme,barabara mbovu magari hayapiti ,hatuna mahospital ,kina mama wajawazito na watoto wanateseka ..ni matatizo yanayoonekana bila kificho
Inakuwaje bado tunaendelea kuwapigia kura na kuwaweka madarakani?:confused::mad:
Inakuwaje lakini??
Tunakosa fikra sahihi japo tunajua jukumu la kumchagua kiongozi aliyebora lipo kwetu.
Pili tunaweza kuw sie tunafanya kilicho sahihi lakini kuna dhulma inafanyika kati ya viongozi wanaogombea madaraka kwa kuiba ama kura au kubadilisha matokeo wakishirikiana na Chombo husika katika kusimamia chaguzi zetu.
kingine inaweza kuwa tunadanganyika na vitu vidogo (wengi wetu) kama Khanga,fulana,vyakula na hata pesa pindi chaguzi zinapowadia nalabda kuna ile kitu mapenzi kupindukia kwa wagombea dhidi ya wapiga kura pasi na kuangalia nini cha kufanya(ujamaa,undugu,urafiki) ilhali baadae utalalamika juu ya uongozi wa huyo uliyemchagua.
Kumbe na la msingi tunabidi Tubadili FIKRA zetu sasa.
 
Grrrrrr!!!!! Mkuu unataka kutuambia hao wanaosimamishwa na CCM wanakubalika? Mgombea wa upinzani hata akubalike vipi, siku ya siku atapigwa mweleka!

Rejea uchaguzi wa 1995 NCCR Mageuzi ya kina Lamwai, Marando na Mrema walivyoliteka jiji la Dar badala yake uchaguzi wa Dar ukafutwa. Au angalia wa 2000 John Mnyika alivyomchachafya Keenja kule Ubungo na mizengwe ilivyoibuka. Ukitaka kushangaa zaidi rejea uchaguzi na matokeo ya Busanda na Biharamulo.

Mi nakwambieni niacheni nigome kupiga kura niiridhishe nafsi yangu! aggrrrrrr!!!
Uliyoyasema ni kweli lakini, tuna vingi sana vinavyosababisha na unaweza ukaona kila mahali pana at least sababu moja kati ya hizo nilizozitaja. Kukaribia kura za mpinzani wako si kushinda. Kinachotakiwa ni kupata kura zaidi yake...... na si chenga twalawa ...........lakini kufungwa .......... twafungwa
 
Grrrrrr!!!!! Mkuu unataka kutuambia hao wanaosimamishwa na CCM wanakubalika? Mgombea wa upinzani hata akubalike vipi, siku ya siku atapigwa mweleka!

Rejea uchaguzi wa 1995 NCCR Mageuzi ya kina Lamwai, Marando na Mrema walivyoliteka jiji la Dar badala yake uchaguzi wa Dar ukafutwa. Au angalia wa 2000 John Mnyika alivyomchachafya Keenja kule Ubungo na mizengwe ilivyoibuka. Ukitaka kushangaa zaidi rejea uchaguzi na matokeo ya Busanda na Biharamulo.

Mi nakwambieni niacheni nigome kupiga kura niiridhishe nafsi yangu! aggrrrrrr!!!


hawakubariki hata kidogo mie mbunge wetu lol kimeo lakini ndo mauzauza yayotokea everyday
 
Back
Top Bottom