STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Tumeona tume ya kuchunguza matatizo ya mikopo haina mwakilishi wa wanafunzi hata mmoja. Ni jambo la kushangaza kuona tume imejaa upande mmoja tu wa CCM na serikali hata wanafunzi wangeshirikishwa kwa sababu ndio wahanga wa hayo matatizo ya bodi na baadhi ya vyuo vinahusika moja kwa moja na unyanyasaji wanaofanyiwa wanafunzi.
Hii tume haitakuwa na jipya kwani matokeo au mapendekezo yake yatachakacchuliwa tu, kwa hiyo wanafunzi wasitegemee jipya hata kidogo kwani ni ya watu wale wale.
1. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam Profesa Makenya Maboko.
Wajumbe ni
2.Masoud Mohamed Haji ambaye ni Ofisa Mahusiano wa Kimataifa,
3.Dk. Eliawony Kristosia Meena, mhadhiri mwandamizi Chuo Kikuu cha Tumaini Arusha na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Zanzibar.
4.Paul Daniel Magwiza, Naibu Katibu Tume ya vyuo vikuu,
5.Sarah Baharamoka, Mkurugenzi Msaidizi Uandishi Sheria, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali,
6.Profesa Penina Mlama, ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa tawi la Tanzania la taasisi inayopigania elimu kwa wanawake.
7.Deo Mbasa Daud ambaye ni ofisa taaluma wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha, 8.Kassim Almasi Umba, ambaye ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro.
9.Anderson Mlabwa ambaye ni Mkurugenzi wa Mikopo Benki ya CRDB.
10.Profesa Wilbert Abel Mkurugenzi wa Elimu ya Juu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi pamoja.
11.Rosemary Rulabuka ambaye ni Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Elimu.
Masomo mema
Hii tume haitakuwa na jipya kwani matokeo au mapendekezo yake yatachakacchuliwa tu, kwa hiyo wanafunzi wasitegemee jipya hata kidogo kwani ni ya watu wale wale.
1. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam Profesa Makenya Maboko.
Wajumbe ni
2.Masoud Mohamed Haji ambaye ni Ofisa Mahusiano wa Kimataifa,
3.Dk. Eliawony Kristosia Meena, mhadhiri mwandamizi Chuo Kikuu cha Tumaini Arusha na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Zanzibar.
4.Paul Daniel Magwiza, Naibu Katibu Tume ya vyuo vikuu,
5.Sarah Baharamoka, Mkurugenzi Msaidizi Uandishi Sheria, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali,
6.Profesa Penina Mlama, ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa tawi la Tanzania la taasisi inayopigania elimu kwa wanawake.
7.Deo Mbasa Daud ambaye ni ofisa taaluma wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha, 8.Kassim Almasi Umba, ambaye ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro.
9.Anderson Mlabwa ambaye ni Mkurugenzi wa Mikopo Benki ya CRDB.
10.Profesa Wilbert Abel Mkurugenzi wa Elimu ya Juu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi pamoja.
11.Rosemary Rulabuka ambaye ni Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Elimu.
Masomo mema