wana jf kwa nini televisheni yetu ya taifa wakati wakuonyesha mpira wa live kutoka uwanyani wanashindwa hata kuweka muda (dakika) wa mchezo kwa mfano wakati wa mashindano ya chalenge waliboronga sana je ni vipi wanashindwa?
Waige star tv wanajitahidi katika kutuletea soccer, halafu huwa sielewi mitambo kukatika hovyo sijui ni kwa nini???
Wakati wa taarifa ya habari pia unakuta akina Msami na Kingalame wamejiachia yaani hovyoooo...mara wameshika vichwa...mara wengine koti halijakaa vema yaani ILIMRADI tu.
Natamani ITV wangerudia kuonyea UEFA champions league kama miaka ileeeeee......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.