PlanckScale
JF-Expert Member
- Sep 28, 2008
- 550
- 169
Kuna kazi nyingi Bongo zinalipa vizuri tuu - mpaka masekretari wananunua magari!. Mwanangu zamani haikuwa hivyo. Nenda pale mlimani City and observe how big the middle-class has become.
I sympathize with teachers - they deserve much more. Lakini kama wewe uko kwenye profession nyingine na hulipwi vizuri it is your f*** problem. Daktari kama hulipwi, go private. Naukiwa in private practice do a good job and uphold customer care practices. Otherwise, don't expect to get paid.
Kuna jamaa bongo is making a killing growing and selling watermelons. I think he is an agronomist. Watu wengi wana hama hama kazi hapa bongo ili kujiongezea mishahara, na wanafanikiwa. But, in private company the hours are long - so a change in work ethics is necessary.
True story: sikumoja nikiwa Steers ya mjini nilisikia watu wakijadili kwanini jamaa anatafuta kazi serikalini wakati yuko kwenye private bank. The answer was: "Mshahara sio mbaya lakini masaa ya kazi ni mengi - hata mtu unashindwa kufanya mambo yako..."
Draw your own conclusion....
My 0.2
I sympathize with teachers - they deserve much more. Lakini kama wewe uko kwenye profession nyingine na hulipwi vizuri it is your f*** problem. Daktari kama hulipwi, go private. Naukiwa in private practice do a good job and uphold customer care practices. Otherwise, don't expect to get paid.
Kuna jamaa bongo is making a killing growing and selling watermelons. I think he is an agronomist. Watu wengi wana hama hama kazi hapa bongo ili kujiongezea mishahara, na wanafanikiwa. But, in private company the hours are long - so a change in work ethics is necessary.
True story: sikumoja nikiwa Steers ya mjini nilisikia watu wakijadili kwanini jamaa anatafuta kazi serikalini wakati yuko kwenye private bank. The answer was: "Mshahara sio mbaya lakini masaa ya kazi ni mengi - hata mtu unashindwa kufanya mambo yako..."
Draw your own conclusion....
My 0.2