Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kolimba alihamia chama gani?
anapiga vita ufisadi na bado anakula pesa za mafisadi ndani ya chama cha mafisadi
inaingia kilini hiyo"?
kuna tofauti kubwa sana kati ya msukuma na mnyamwezi.
jiulize kwa nini wameng'ang'ania kuishi Unguja, licha ya manyanyaso yote wanayopata kuanzia kunyofolewa korodani enzi za utawala wa sultani, kugeuzwa vibarua wa kulima na kutunza mashamba ya waunguja, kuangua na kukuna nazi kwa ajili ya mamwinyi wa unguja, na sasa kuchomewa hata vichaka vyao wanamoishi na kulala?
wanyamwezi shida na taabu za dunia ni baraka.
Ni pesa zipi za mafisadi anazokula Sitta? Ninavyojua mimi yule ni Waziri, hivyo analipwa na kula pesa ya Serikali sio chama. Angekuwa mwajiriwa wa ccm kama alivokuwa Makamba senior na wengine wa aina ile ndio tungesema anakula pesa za mafisadi moja kwa moja. Sikatai kwamba pesa za mafisadi hazimfikii kwa namna yoyote, hapana, pengine zinamfikia kidogo kupitia vijiposho pindi wanapokutana kwenye vikao vya ccm kama cc kwakuwa yeye 6 anaingia kama spika mstaafu. Hivyo bado sishawishiki kumlaumu 6 kwa fedha za mafisadi, badala yake namshauri aendelee kuwanyuka humo humo. Ujue ngumi ya karibu ndiyo itakayowaumiza mafisadi.huku anakula pesa hizo hizo anazosema ni chafu na za mafisadi?
come on the guy is becoming a joker in chief now
Ni pesa zipi za mafisadi anazokula Sitta? Ninavyojua mimi yule ni Waziri, hivyo analipwa na kula pesa ya Serikali sio chama. Angekuwa mwajiriwa wa ccm kama alivokuwa Makamba senior na wengine wa aina ile ndio tungesema anakula pesa za mafisadi moja kwa moja. Sikatai kwamba pesa za mafisadi hazimfikii kwa namna yoyote, hapana, pengine zinamfikia kidogo kupitia vijiposho pindi wanapokutana kwenye vikao vya ccm kama cc kwakuwa yeye 6 anaingia kama spika mstaafu. Hivyo bado sishawishiki kumlaumu 6 kwa fedha za mafisadi, badala yake namshauri aendelee kuwanyuka humo humo. Ujue ngumi ya karibu ndiyo itakayowaumiza mafisadi.
Ukisema hivyo, ina maana CDM hawapokei ruzuku toka Serikalini? Au wabunge wa CDM hawapokei mishahara ya Serikali? Kumbe unamtaka 6 ahamie wapi ambako hatapata pesa za Serikali wala za ccm? Hujui kama fedha za Serikali zinatokana na kodi zetu wote (wanachama wa vyama vya siasa na tusio wanachama wa chama chochote siasa)? Bado sijaona hoja yako, na bado sioni sababu ya kumlaumu 6 eti kwa kupokea mshahara toka Serikalini hana tofauti na mwajiriwa wa ccm kwakuwa wote wanakula fedha za mafisadi. Kumbe basi tuwatake watumishi wote wa Serikali wanaochukia ufisadi waachie ngazi kwakuwa (according to you) wanakula pesa za mafisadi. Na hawa mafisadi (according to you) ni walipa kodi wote wa nchi hii.Jamaa hajui hata nini maana ya serikali hao ndio wapiga kura wetu teh teh teh.......
Politics is an arena of opportunism.huku anakula pesa hizo hizo anazosema ni chafu na za mafisadi?
come on the guy is becoming a joker in chief now
Obviously hakubaliani na mengi yanayoendelea ndani ya chama tawala na kutokana na kauli zake za public na private inaonekana hana interest na CCM na ni wazi anatekeleza ilani ya CHADEMA.
Sasa kama kweli anapiga sana vita ufisadi (assuming naye si fisadi), kwa nini asihamie CHADEMA once and for all kama wenzie ili kujua moja?
Maana huwezi kusema CCM chama cha mafisadi halafu ukawa bado unaishi kwa pesa za hao hao mafisadi unless Sitta anatufanya sisi wajinga.
au wenzangu mna maoni gani?
mkuu Mpendazoe huyuhyu mliyemwibia Kura zake!?Mlimdanganya Mpendazoe hivyo hivyo akajimaliza mwenyewe !
<br /><font size="3"><font face="Arial">Sitta ni fisadi anayejua kuwa CDM si mahala pake ndiyo maana alipotaka kutoka ccm alianzisha ccj.</font></font>
Obviously hakubaliani na mengi yanayoendelea ndani ya chama tawala na kutokana na kauli zake za public na private inaonekana hana interest na CCM na ni wazi anatekeleza ilani ya CHADEMA.
Sasa kama kweli anapiga sana vita ufisadi (assuming naye si fisadi), kwa nini asihamie CHADEMA once and for all kama wenzie ili kujua moja?
Maana huwezi kusema CCM chama cha mafisadi halafu ukawa bado unaishi kwa pesa za hao hao mafisadi unless Sitta anatufanya sisi wajinga.
au wenzangu mna maoni gani?