YoungCorporate
JF-Expert Member
- Apr 30, 2010
- 391
- 113
simply bcoz wanaume wanaboa saaaaaaaaaaaaaaana ol da tyme WENGI WAO na kuna wachache ambao ni km malaika vile wanavyojua kutreat mwanamke!
ukisema utulie nayeye na umuendo km yeye mfalme stl atakuboa tu atajifanya asense kitu na kukulipa mabaya so da solution iliyopo ni part tyme game o waume za watu ambao automatically ni part tyme n short tym as it is
lakin awa mabofrend wetu awa wamtumba kwa kuboa magalfrend weeeeeeeeeeeee hawafai.......!!!!!!!!!!!!1
kuish single smtmes z wealth snce its stress free compare to mastress ambayo binadamu mwenzako makusudikally anakuletea bila huruma ili tu roho ikuume!!!!!
thou mungu apend cz kasema muijaze dunia so kuolewa ni muhimu bt mmh.........wanaume makorokocho!!!!!!!!!!!
me nadhani wanawake ndio wamekuwa mcharuko sana....sijui ndio u-aggressiveness au nini?? ila ninachojua ni kwamba wanawake wamekuwa too material n cheatin is no longer considered unethical...so nadhani watu wengi wanona bora kuwa na casual thing coz ukiwa serious na hiki kizazi mcharuko utaumia bureee.....ila deepdown in our hearts as human...we all wanna something good....kama good relationship....fyi ukienda kenya utasema wadada wabongo wakovery humble na atleast wanaki-luv mcharuko...kenya ni bad nus no money no honey straight away......ila siku zote...kila ki2 kina explanation.....hakuna msichana mzuri alietulia mabae atakosa good relatioship...ukiona hivyo ujue smhw ni mcharuko.....wanawaka na vi2 vya kawaida sana kama vijigari vya japan hawajali hata kama umeazima.....sio wote anyway ila wengi wao wa generation y.....