Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
kila mwanamke anapenda kuolewa, sema tunakutana kila siku na small boys wasiojua thamani ya mwanamke, ndo maana tunapenda kuwa single
alafu wanaume wengine bwana wa ajabu sana, uusipomwabia shida zako anaokuona unadharau, ukimwambia anahisi unataka kumchuma hivi mnataka nini lakini
Wanaume nao wanapenda KUOA ila mhhh... wakishaoa wanataka kuendelea kuishi singo!!
Ataishi singo hata mkiwa mnaishi kama mke na mume... utaona anasarandia ndugu wa mke, ma housegirls... mradi kero tupu.
Wanawake wa siku hizi wamashachoka kurushwa roho.