Jamani wadau wa jf,hili la mchanga wenye madini kupelekwa nje litakoma lini? Au ndo moja ya makubaliano katika mikataba na kwa nini hii mikataba inaendelea kuwa siri? Inauma jamani,kama serikali haina pesa si watafute makampuni ya nje na ndani au hao wanaochimba hayo madini wabanwe wa process hapa hapa.Viongozi wanalalamikia tatizo la ajira bila kuchukua initiatives,kulalamika hakusaidii viongozi wangu!
Wadau hili mnalionaje?
Wadau hili mnalionaje?