polisi baadhi nasikia hadi leo hawajapata mishahara.waliopata ni wale wanaopokelea mezani ambao bado hawajatengenezewa utaratibu wa kuchukulia bank.vilevile wapo baadhi waliopokea kupitia bank lakini hela imepungua si kama walivyozoea kupokea.wakikatwa kwa wale wenye mikopo bank ikikata deni unaweza usirudi na kitu nyumbani.ni hatari sana.mwaka huu mabomu ya machozi yatagoma kulipuka.