Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Jamani msaada, hivi kwa nini ikitokea wapenzi wawili wakiachana, roho huuma sana pale mmoja amwonapo mwenzie ana mpenzi mpya?
Jamani msaada, hivi kwa nini ikitokea wapenzi wawili wakiachana, roho huuma sana pale mmoja amwonapo mwenzie ana mpenzi mpya?
Jamani msaada, hivi kwa nini ikitokea wapenzi wawili wakiachana, roho huuma sana pale mmoja amwonapo mwenzie ana mpenzi mpya?
..Ubinafsi tu ndio tatizo!!!!Jamani msaada, hivi kwa nini ikitokea wapenzi wawili wakiachana, roho huuma sana pale mmoja amwonapo mwenzie ana mpenzi mpya?
Roho ni nini? Na ipo wapi?
Au unatumia "roho" kurahisisha mjumuiko mzima wa mawazo?
I think she/ he meant "moyo".....there is no organ in the human body called "roho"
Mimi ninayo!
Iko sehemu gani?
nichinje nitakuonesha!!
Mimi kukuchinja siwezi.....ngoja ntamwambia chinjachinja.........
...sawa, je huyo ndiyo anayejua kipi kati ya "roho" au "moyo" vinavyo sononeka au kufarijika kutokakana na kughafirika au kuridhika kimapenzi au ndani ya mahusiano?
No hajui...ila akishakuchinja....wewe ndio utanionyesha mimi au yeye "roho" yako iko wapi....
We si ulinambia nikuchinje utanionyesha?
Nyani, kwa hiyo roho ni kitu cha kuaminika tu lakini moyo siyo au vipi... Sasa kwa vile mwanzilishi wa thread ameulizia roho nawe ukasema labda anamaanisha moyo, kwanini sasa huo moyo (physical organ) huuma pale mtu anapogafirika ndani ya mapenzi?! Ni blood pressure au kipi kinachosababisha physical organ kama moyo kuuma kutokana na matatizo ndani ya mapenzi?
Inawezekana ikawa ndio sababu ya msingi kabisa -- Ubinafsi...Ubinafsi tu ndio tatizo!!!!
Nadhani roho sio kitu cha kushikika. Kuumia roho ni hisia tu, kama ilivyo kufurahi, kuhuzunika n.k.Roho ni nini? Na ipo wapi?
Au unatumia "roho" kurahisisha mjumuiko mzima wa mawazo?
Jamani msaada, hivi kwa nini ikitokea wapenzi wawili wakiachana, roho huuma sana pale mmoja amwonapo mwenzie ana mpenzi mpya?