ngozimbili
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 1,398
- 1,006
Kwa muda mrefu watanzania wamekuwa wakipiga kelele kuhusu mkataba unaoitwa wa kinyonyaji wa Richmond.lakini jambo la kushangaza ni kuwa Tanesco imeingia mikataba ya kinyonyaji mingi tu na mingine ni ya kinyonyaji mara 4 ya Richmond.mfano i.p.t.l.,songas,na aggreko.mi nilidhani kama tunapiga vita ufisadi tuupige wote.lakini kila m tz utasikia richmond mpaka watu wakataka kuandamana.lakini baada ya richmond kuchukuliwa na marekani wote KIMYA! Kana kwamba hakukuwa na richmond lakini mtu mmoja hatakiwi kuombwa radhi hata kama maamuzi yake ya kuleta richmond mpaka leo tunakubaliana nayo kwa kutumia umeme wake.HIVI KUNA MCHEZO GANI UNACHEZWA?