Kwa nini Rais analazimisha kitu ambacho hana madaraka nacho ya Kikatiba? (Video)

Hakika ni wakati wa sasa ndio haswa ni wakati mwafaka kabisa kwa wananchi kuelewa kila chama cha siasa na nini kinachosimamia - kuchumia tumbo au kusikiliz na kulinda maslahi ya umma.

Kule Arusha madiwani wachumia tumbo walionekana jinsi walivyoangukia kitako na hivyo vivyo ndivyo vyama vya kisiasa na viongozi vigeugeu watakavyosababisha vyama vya kuangukia kitako kwenye chaguzi zijazo endapo mheshimiwa mpigakura atageuzwa ABIRIA kwenye shughuli ambalo haswa yeye ndiye anpashwa kuwa DEREVA.
 
Hiyo tume ya rais inalazimishwa kuyazingatia hayo maoni ya wananchi?

=Ndiyo maana imeundwa tume in the first place..tunahitaji maoni ya wananchi

Je ikija kwenye uamuzi wa mwisho,watachaguwa maoni ya wananchi ama yale ya rais aliyewateua?
=Obvious watachukua maoni ya wananchi walio wengi..

Mnataka muendeleze viini macho hadi kwenye issue ya katiba ya nchi?
=suspicious minds zipo tu hata ufanyeje?? pessimitic behaviour

Kuna uthibitisho gani ama gurantee gani kwamba maoni ya wananchi yatazingatiwa?
= vyama/jamii iendeleeni kufanya monitoring kama maoni hayatazingatiwa tuko tayari ku-support revolution
Aliyewahi kuumwa na nyoka hata akiona unyasi ANARUKA.Kama maoni na matakwa ya wengi yanashindwa kuzingatiwa sasa ni vigezo gani unavyovitumia kutuaminisha kuwa hao wateule wa jk na jk mwenyewe watazingatia maoni yetu na kutupilia mbali masilahi yao.Nisaidie kitu kimoja'' Kuchakachua si sera yetu tena''
 
Hapo kweli hawa wazee wa ccm wamechemsha sijui tutaona nani mshindi minority or majority
 
Jamani, woga wetu utaisha lini? Waliokuwa wanaharakati wa baraza la katiba eti wamesambaratika

Woga wetu ndio mtaji mkubwa wa watawala wetu.

Tanzania bila ccm,jk na wabunge wa ccm inawezekana.Hivyo hivyo katiba mpya bila Jk inawezekana.

''AMANI HAIJI ILA KWA NCHA YA UPANGA''
 
MUSWADA WA MAKINDA NI SAWA NA JUMBA LA DHAHABU ILIOJENGWA KATIKA MSINGI WA BISKUTI USWAHILINI

Sheria ya Makinda iliopitishwa majuzi bungeni Dodoma ni sawa na jumba kuuuuubwa la kifahari liliojengwa kwa matofali ya dhahabu lakini chini yake likisimama juu ya MSINGI MARIDADI LAKINI ILIOJENGA KWA VIJIPANDE VYA BISKUTI.

Kwa uelekeo huo, maana yake ni kwamba gharika la Umma wa Tanzania pindi tu utakapopiga basi tujue kwamba hakuna tena jumba hapo. Safari ndio hiyo inaendelea.

Utaifa mbeeeeele kama tai, KATIBA MPYA kamwe hatutoiacha ianguke kama mane mane toka angani; KATIBA MPYA ni jukumu letu sisi wenyewe (unalienate right) kulitunga wenyewe TUKIWA TUMEUSHIKA USHUKANI SISI WENYEWE na wengine woote ikiwa ni pamoja na Rais, Ikulu, Bunge, Mwanasheria Mkuu na Serikali ya CCM kwa ujumla wake wakiwa ni sehemu ya ABIRIA WETU MUHIMU sana katika zoezi zima hili.
 
Tunu zetu zote za taifa kwanza ziainishwa, kujadiliwa na kusimamiwa na umma wote wa Tanzania. Jambo hili wala lisiwe suala la rais na mwenyekiti wa CCM kwa peke yake.

Amesema kwa sababu ni "tunu ya Taifa."

Sababu za Muungano za kijinga jingaaa! Tunu ya Taifa ni madini yanayochimbwa na Barrick bure na twiga wanaotoroshwa na ndege.

Ndio maana hii naiita ni TUME YA RAIS YA KUCHAGUA MAONI YA WANANCHI NA KUANDIKA RASIMU YA KATIBA MPYA
 
Back
Top Bottom