Kwanini Prof. Baregu amenyimwa kazi UDSM?

Hamtakiwi kuishangaa sana CCCCCCMMMMMMM--Huyu Jamaa Miaka ya Tisini Mwanzoni walishawahi kumwamisha kwenda Ubalozini Italy. Bahati nzuri alikataa.
 
Yani siku yangu imeharibika kabisa niliposoma hii.. yani kunakipindi nikifikiria ujinga wa ajabu kama huukweli wazo la GUN linanijia kabisa.. hawawatu kweli wanamwisho mbaya sana...kwa mwendo huu.......
 
D they care? watoto wao wanasoma ulaya kwa pesa za kifisadi na scholarship za nchi, so life goes on. But this is the highest level of stupidity in the name of politics.

na wakikosa ndugu wakuwapa hizo scholarship wanaziuza... hii nchi.. ngojeni tuu
 
Yani siku yangu imeharibika kabisa niliposoma hii.. yani kunakipindi nikifikiria ujinga wa ajabu kama huukweli wazo la GUN linanijia kabisa.. hawawatu kweli wanamwisho mbaya sana...kwa mwendo huu.......

Mh Great Thinker, tuombe Mungu tusifike huko, ni hatari!
 
Jamani hata kama watanyima kazi lakini ukweli unabaki palepale kwamba BADO TUNAUPUNGUFU WA WATAALUMA wenye hadhi ya Uprofessor, angalia chuo kama UDOM wanavyoajili watu wenye degree moja na wanawalazimisha wafundishe hapo kweli kuna kitu? mtu kama prof. ballegu bado ananguvu kabisa za kufundisha hatakiwi kunyimwa mkataba.Lakini kwa vile tunaingiza maswala ya SIASA kwenye elimu hili silishangai. CCM inabidi ibadilike kwani wakati wa giza waliokuwa wanaendesha nchi umekwisha sasa hivi kuna mwanga.
 
It is a great shame that The University of Dar es Salaalam Act, which when I served on the Council gave full mandate to the University Senate to appoint and promote academic staff seems to have been thrown overboard.

If it still provides for the Senate to have powers of appoinment and promotion, why don't UDASSA challenge this interference in the High Court? A ruling by the High Court to restore such powers will be in the long-term interest of higher education in our beloved country.

In the meantime, pole sana Profesa Baregu. Nina hakika this meddling by Government in UDSM will re-inforce you to speak your mind against a decadent national leadership.
 
It is a great shame that The University of Dar es Salaalam Act, which when I served on the Council gave full mandate to the University Senate to appoint and promote academic staff seems to have been thrown overboard.

If it still provides for the Senate to have powers of appoinment and promotion, why don't UDASSA challenge this interference in the High Court? A ruling by the High Court to restore such powers will be in the long-term interest of higher education in our beloved country.

In the meantime, pole sana Profesa Baregu. Nina hakika this meddling by Government in UDSM will re-inforce you to speak your mind against a decadent national leadership.


Something to be classified ‘stupid’ has been allowed to clip into public Universities. Political associations/alignment and tribal association have become a pre-requisite for one to become the head of any Government institution. Not only Universities.

It is shameful if you learn that our Universities’ leadership (at UD, SUA, UDOM and MUHAS) must be royal to CCM.
When they were searching for VCs and their Deputy’s some credible applicants for the positions were sieved out simply because somewhere they had shown their appreciation and support to the opposition political parties. They were out and ‘they’ appointed those who were considered pro-CCM.

Now the biggest problem is the quality of leadership at these Universities! To be fair some of these leaders don’t deserve even to be Head teachers. Of course this was expected. What big thing do you expect from a person, a professor, who don’t have independent mind? Some, at that level have shown extreme ignorance to simple and general knowledge These are kichefu-chefu.
 
Yani siku yangu imeharibika kabisa niliposoma hii.. yani kunakipindi nikifikiria ujinga wa ajabu kama huukweli wazo la GUN linanijia kabisa.. hawawatu kweli wanamwisho mbaya sana...kwa mwendo huu.......

Ni kweli nchi ina uovu mwingi na inaboa kwelikweli. Kila mahali wanaendekeza uenzetu hata kama ni kwa kuua watanzania kadhaa ili kulinda nafasi zao. But to my opinion, ni dhambi kubwa sana kufikiria tuingie kwenye hatua ya bunduki.
Mwaka 2007 tumeona machafuko ya Kenya, waliosababisha ni Kibaki na Odinga. Je ni nani aliyekufa? Bila shaka kila mmoja ana jibu kama langu kwamba waliokufa ni raia wasiokuwa na hatia, na kumbukumbu yao duniani ishapotea. Wewe ukishika bunduki unafikiri atakufa nani? Kikwete? Take care! tuiombee amani nchi yetu. Tupambane kidiplomasia.
 
I think in next election everybody should play her/his part. We must unite and throw out this old stinking ccm party. We are sick of its mafisadi, nepotism and other foul scandals which brought shame to our country. Bye bye ccm in 2010, enough is enough !We will not bear to see you (leadres)stealing and using our national wealth for your greedy uses!
 
Heko Geza ulole, na UDASA wenyewe! Nilishasema hakuna dira kabisa. Mtu asiyetambua umuhimu wa mtaalam ndani ya nchi yake kweli huyo utamchambuaje, kopo? kizibo? ama chupa tupu? Hatuwezi kwenda ama kusonga mbele kama hali itaendelea kuwe hivyo. Kuna mifano mingi tu ya namna hiyo. Mwingine ni pale Mwita Mwikwabe alipokataa upuzi wa wala rushwa. Alipata mazingira magumu ambayo inafikia kipindi aliona ni bora aondoke tu (hiyo ukiwa ndani ya CCM) na ukiwa nje yake basi mifano ya Prof. Baregu haikawii kuufikia kabisa.
 
I think in next election everybody should play her/his part. We must unite and throw out this old stinking ccm party. We are sick of its mafisadi, nepotism and other foul scandals which brought shame to our country. Bye bye ccm in 2010, enough is enough !We will not bear to see you (leadres)stealing and using our national wealth for your greedy uses!

Ukiikataa CCM utachagua chama gani? Maana binafsi sioni chama cha upinzani ambacho kipo serious na committed kwa maendeleo ya nchi. Wote ni walewale tu, lao moja na CCM. A bit CUF na NCCR wanaweza kuwa serious, wengine hawa blabla tu. Wapenzi wa CHADEMA, I am sorry! Its not yet a Party to rule this country.
 
Ni kweli nchi ina uovu mwingi na inaboa kwelikweli. Kila mahali wanaendekeza uenzetu hata kama ni kwa kuua watanzania kadhaa ili kulinda nafasi zao. But to my opinion, ni dhambi kubwa sana kufikiria tuingie kwenye hatua ya bunduki.
Mwaka 2007 tumeona machafuko ya Kenya, waliosababisha ni Kibaki na Odinga. Je ni nani aliyekufa? Bila shaka kila mmoja ana jibu kama langu kwamba waliokufa ni raia wasiokuwa na hatia, na kumbukumbu yao duniani ishapotea. Wewe ukishika bunduki unafikiri atakufa nani? Kikwete? Take care! tuiombee amani nchi yetu. Tupambane kidiplomasia.

Still the GUN can be used but in a different style, think of elimination of all corrupt leaders/people. But to do this we need help from the national intelligence units, who are also corrupt; it's really difficult.
 
Ukiikataa CCM utachagua chama gani? Maana binafsi sioni chama cha upinzani ambacho kipo serious na committed kwa maendeleo ya nchi. Wote ni walewale tu, lao moja na CCM. A bit CUF na NCCR wanaweza kuwa serious, wengine hawa blabla tu. Wapenzi wa CHADEMA, I am sorry! Its not yet a Party to rule this country.

Wewe ni boga kabisa.....unasema ukiikataa sisiemu utachagua chama gani?? kwani hakuna vyama vingine? na kwa nini unasema labda kafu au enisisiara? kwani haya ni magenege ya wahuni au ni vyama vya siasa?

Mkuu tatizo lako ni kunywa maji ya bendera ya yanga ukiwa mdogo.
 
walaaniwe mara ngapi aiseee.... waangalie braza wao wa-kubembea anavyojichora cku hizi...kila cku anatema dusty akijitahidi sana basi shudu kama sio vumbi...utafikiri hana washauri...!!!
Washauri woooooooooooteeeeeeeee inawezekana wana vyeti feki......... Maana ile siku alipokuwa anatamka zile asilimia zake 70, 15 na 15.... nilimshangaa sana........... Utafikiri kijiweni vile.......
 
Huitaji kuwa na degree kujua kuwa viongozi waliopo madarakani wameshindwa kwenda sambamba na mabadiliko ya kiuchumi,kisiasa na kijamii yanayotokea duniani.watu wanaofikiri vizuri wakiwapa watu trust wakashindwa kudeliver huwa altenative ni kuwafanya wawe watazamaji labda watajifunza kwa kuona kinachofanywa na wengine watakao kabidhiwa hatamu.
 
Dua la kuku halimpati mwewe

kwa staili hiyo kweli ni mwewe, lakini hivi mnafaidika na nini au kwakuwa watoto wenu mnawapeleka ulaya kwa kodi zetu?
afu huu ni woga wa kitoto kabisa wa huyu mwewe,kumwogopa kuku mmoja tu kisa anampiga manati mwewe?na anamtaka afunge mdomo wake
sijui hii mi mwewe itakuwa na kuelimika lini?
 
Kweli Mengi yamezungumzwa, lakini sioni kwa nini hawa wasomi nguli na walio 'macho' ya taifa hili hawakuweza kuona kuwa utaratibu wa serikali kuingilia ajira zao kuna siku utawaliza.wakati tunailaumu serikali , jamani we have to be eyes open , ninachokiona ni kile kile cha MV bukoba izame kwanza tuwaze kuwaokoa watu, na sio kuzuia. sasa kama hili linatokea mlimani huko kwingine je!!
 
Back
Top Bottom