MwalimuZawadi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2007
- 643
- 68
Hivi accademic staff wa UDSM wakistaafu wanaomba mkataba wa kuendelea; au chuo kinamuomba mtu aendelee kufundisha kama kuna upungufu wa service hiyo at that particular time? Nadhani ku avoid maneno mengi ni muhimu kujua ukweli.
Mkuu Felister
Utaratibu ni lazima wewe mwenyewe mstaafu au mtu mwingine mwenye mkataba wa muda maalum ujaze fomu. Tena zinapita kuanzia kwa mkuu wako wa idara kwenda skuli hadi utawala. Kama hukujaza fomu moja kwa moja ni kwamba umeamua kuachana na taratibu za chuo. Kilichofanyakia ni kuongeza muda wa kujaza mkataba mpya. Kama sijakosea ukijaza mkataba mpya kwa mstaafu unatumikia miaka 2. Ukishajaza mkataba, kuna kukubaliwa au kukataliwa maana majina yanapelekwa serikalini kwa uamuzi. Kama kawa, la Baregu halikurudi