Kwa nini posts zisipangwe by date hapa jamvini??

Mawenzi

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
1,251
344
Hapa jamvini pana wajuzi wa IT wengi sana, wakiwemo ma-mods. Kwa nini imeshindikana posts kuwa arranged serially kwa kufuata tarehe za ku-post? Yaani most recent ziwe mwanzo. Kwa sasa utakuta most recent iko mwisho au katikati, ya zamani ipo mwanzoni. Kwa mtindo wa sasa searching of posts inakuwa ngumu sana.

Nawakilisha
 
Ndugu yangu it is perfect as it is..... (if it aint broke dont fix it)

Saa hizi post mtu akijibu ndio inakuwa most recent yaani inakuwa juu.... alafu kuna button ya new posts yaani the last one kujibiwa..... that means unapata zile topic hot ambazo mtu amemaliza kuzijibu and you can go from most recent to the last one.., Yaani jinsi ilivyo is the best way...
 
Ndugu yangu it is perfect as it is..... (if it aint broke dont fix it)

Saa hizi post mtu akijibu ndio inakuwa most recent yaani inakuwa juu.... alafu kuna button ya new posts yaani the last one kujibiwa..... that means unapata zile topic hot ambazo mtu amemaliza kuzijibu and you can go from most recent to the last one.., Yaani jinsi ilivyo is the best way...

Uko sahihi kabisa lazima iwepo automataic mechanis fulani ya kumanage post.
Mfano computer zinatumia tecnique fulani( LIFO,FIFO etc) kumanage jobs na task mbali mbali Soma FIFO - Wikipedia, the free encyclopedia upate mwanga kidogo

Kwa hiyo hata software ya JFambayo nadani ni Vbullein ina automatic mechanism amabapo thread yenye activity( Commets, reply etc) itandeleea kuwa kuwa mwanzoni tu hata kama ni ya mwaka juzi. na thred ambayo haina activity itapotea tu hatakamani ya leo.

Lakini admin ana uwezo wa kubadilisha seting na wana power mannualy kama ya kufanya thread igande(sticky)

Hivyo ilivyo sasa iko powa tu.
 
Uko sahihi kabisa lazima iwepo automataic mechanis fulani ya kumanage post.
Mfano computer zinatumia tecnique fulani( LIFO,FIFO etc) kumanage jobs na task mbali mbali Soma FIFO - Wikipedia, the free encyclopedia upate mwanga kidogo

Kwa hiyo hata software ya JFambayo nadani ni Vbullein ina automatic mechanism amabapo thread yenye activity( Commets, reply etc) itandeleea kuwa kuwa mwanzoni tu hata kama ni ya mwaka juzi. na thred ambayo haina activity itapotea tu hatakamani ya leo.

Lakini admin ana uwezo wa kubadilisha seting na wana power mannualy kama ya kufanya thread igande(sticky)

Hivyo ilivyo sasa iko powa tu.

mkuu naungana na ww ilivyo ni sahihi ila napendelea zaidi ili la kugandisha (sticky) kwa baadhi ya usefull topic ambazo nizamanufaa na kwa sababu ya mfumo unao2mika wa kwamba post inayochangiwa zaidi ndio inabaki yakwanza so zinapotea kiaina
 
Back
Top Bottom