Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
According to Mwanahalisi
Gazeti la MwanaHALISI - Kwa nini Pinda ni kipenzi kwa Kikwete kuliko Dr Shei
Gazeti la MwanaHALISI - Kwa nini Pinda ni kipenzi kwa Kikwete kuliko Dr Shei
Ni kawaida sana na lazima iwe hivyo maana alimchagua mwenyewe hakuchaguliwa na chama kuwa mwenza kama makamu ilivyo....lazima awe karibu nae zaidi hata kwa utendaji na majukumu ya kila siku.....utendaji na utawala....
kikwete hajawahi kumpenda pinda [kirafiki/acha working relation] dr shein au pinda.....makamu wake wa rais chaguo lake alikuwa moamed seif khatib...waziri mkuu choice alikuwa lowasa.....
hawa wote shein alilazimishwa kuwa naye kwa kuwa system haikuamini kumkabidhi jk nchi bila kumpa msaidizi mwenye uwezo wa kumshauri madhubiti[shein ni mzuri kwenye vikao vya ndani].......pinda aliambiwa amuweke akawadanganya wazee kuwa amekubali kumpa uwaziri mkuu....baadaye jina bungeni akapeleka la lowassa ..na tangu hapo wazee wa kazi wakawa na kazi moja tu ya kumuonesha jk kuwa nchi ina watu wanaofanya iitwa nchi....lowassa akadondoshwa ...na ikabidi kikwete akubaliane na matakwa ya system kumuweka PINDA ...
kikwete hajawahi kumpenda pinda [kirafiki/acha working relation] dr shein au pinda.....makamu wake wa rais chaguo lake alikuwa moamed seif khatib...waziri mkuu choice alikuwa lowasa.....
hawa wote shein alilazimishwa kuwa naye kwa kuwa system haikuamini kumkabidhi jk nchi bila kumpa msaidizi mwenye uwezo wa kumshauri madhubiti[shein ni mzuri kwenye vikao vya ndani].......pinda aliambiwa amuweke akawadanganya wazee kuwa amekubali kumpa uwaziri mkuu....baadaye jina bungeni akapeleka la lowassa ..na tangu hapo wazee wa kazi wakawa na kazi moja tu ya kumuonesha jk kuwa nchi ina watu wanaofanya iitwa nchi....lowassa akadondoshwa ...na ikabidi kikwete akubaliane na matakwa ya system kumuweka PINDA ...
-
- Shein kwa wanaomjua kwa karibu ni mtu mzembe mzembe asiyependa shuruba za kisiasa, infact wazee wa CCM walipomtaka achukue fomu ya urais 2005, aliishangaza CCM nzima kwa kudai kwamba hawezi kuwadanganya wananchi kwa kuwahutubia one thing kuwa anapinga ufisadi, huku viongozi wanafanya ufisadi bila kuguswa na yeye ni nani hasa wa kuwakaripia viongoZi waliozoea wizi toka tupate uhuru.
Respect.
FMEs!
hahahahahah!at least A GOOD TRY,ACCORDING TO weweBecause Pinda is stupid as JK, khalas!
Mkuu umefurahi siyo!!!hahahahahah!at least A GOOD TRY,ACCORDING TO wewe
Mkuu umefurahi siyo!!!
Hujuwi huyu Pinda alivyofanya chakula kisinipite wiki sasa.
Kule visiwani wanasema akitia mguu wake watamzomea kama kikojozi.
Hakuna mwana CCM Zanzibar,unapokuja upuuzi wa Pinda.Yaani waziri mkuu wa CCM azomewe na wana CCM au una maana gani? Siamini natamani atie mkuu .
Mkuu umefurahi siyo!!!
Hujuwi huyu Pinda alivyofanya chakula kisinipite wiki sasa.
Kule visiwani wanasema akitia mguu wake watamzomea kama kikojozi.