Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Hata bila mabango Kura atapata
Don't say that mkuu...
Hata bila mabango Kura atapata
Wangekodi magali hiyo ingekuwa ni rushwa tosha!! Watu walikwenda kwa kusukumwa na mioyo yao na imani kwa kile wakipendachoNimefurahishwa na umati wa watu waliokusanyika for Dr Slaa kule mwanza kama ilivyorushwa na TBC nyomi ya kufa mtu,alafu imagine hayo watu hawajaletwa na magari ya kukodi je wangekodi magari ingekuwaje?