uNA HAKIKA NA USEMACHO?? tUMBO LAWEZA KUCHANWA POPOTE KUTEGEMEANA NA TATIZO[/QUOTE]ni kweli kabisa.
tafuta wataalamu wa maumbile(anatomy) watakufafanulia!Kwa jinsi ninavyofahamu, madaktari humfanyia upasuaji wa tumbo mgonjwa kwa kupasua chini kitovu.Kwa nini huwa gawapasui sehemu zingine za tumbo?Wataala please......
inategemeana na aina ya operation. sijui unaongelea tumbo kwa maana ya abdomen au stomach?