Ni nini kiashirio kwamba kabila fulani ni wakabila?

WOS,
mojawapo ya maeneo ambayo hawa chagaz wanpendeleana ni kwenye ajira.
nitakupa mifano michache tu,kama kuna mwingine mwenye ushahidi ataweka hapa, kama kuna asiyeamini,afuatilie kunakohusika ili ajiridhishe.
Nenda Barclays bank na Swissport (T) ltd.Hayo ni maeneo mawili ambayo nimefuatilia na kujiridhisha kuwa bila kuwa chagaz au kujuana na chagaz wa hapo hulambi ajira.moja katika hizo mbili, moja waliwahi kutangaza nafasi za kazi ya mhandisi(engineer).nakumbuka tuliofanyiwa usaili tulikuwa 12,nafasi za kazi zilikuwa 3.Baada ya usaili watu watatu tukalamba ajira.nilipoanza kazi, kila ninayeongea naye anataka kujua mimi ni mchaga wa wapi.hiyo ilinishangaza sana.lakini hiyo ilikuwa tisa, kumi ni hivi: baadae nilikuja kubaini kuwa wale wenzangu wawili tuliopata nao kazi ni mafundi mchundo(FTCs).nikajiuliza kulikoni??wahandisi wengi hata niliosoma nao wamekosa kazi halafu wameajiriwa mafundi mchundo???baadae nikaja kubaini kuwa wale wenzangu watatu wote walikuwa chagaz na walipata upendeleo kwa kuwa kwenye panel ya usaili, ya watu sita, watano walikuwa chagaz.
na kwa uzoefu nilioupata hapo, ndio maana nasema chagaz wana safari ndefu sana ya kujirekebisha na huo ukabila wanaoendekeza.

Naomba nikukumbushe mheshimiwa kwamba kun cases ambazo huwezi ku-prove kitu kwa mfano, hasa unapotaka ku-prove kwamba dai litakuwa la kweli kwenye situations zote. Ila ku-disprove unahitaji kamfano kamoja tu.

Tunatumia mifano kuzipa uzito argument zetu tu.

Sina uhakika unachotaka ku-prove ni nini lakini naona posibilities mbili.

Moja
Unataka ku-prove kwamba "wachaga wote ni wakabila maana wachaga wote huwapendelea wachaga wenzao kwenye ajira".

Kwa hili pengine unahitaji zaidi ya mfano kuthibitisha.

Pili
Unataka ku-prove kwamba "wapo wachaga ambao ni wakabila ambao huwapendelea wachaga wenzao kwenye ajira".

Kwa hili pengine unahitaji mfano mmoja tu kuthibitisha.

Likini kuonyesha kwamba katika taasisi fulani kuna wachaga wengi nadhani sio mfano tosha. Ila ukija na mfano wa interview ambayo mtu asiye mchaga na mwenye sifa ameachwa akachukuliwa mchaga asiye na sifa kama zake kwa sababu ya kupigiwa debe na bosi mchaga, then huo utakuwa mwanzo mzuri katika kuthibitisha imani yako.

Na baada ya kuthibitisha hilo, (na kama nilivyosema kabla), sioni kama itakuwa shida kutumia mantiki hiyo hiyo ku-prove kitu hicho hicho kwa makabila mengine. Na unaweza utakuta "wapo [tumbukiza kabila lako hapa] ambao ni wakabila ambao huwapendelea [tumbukiza kabila lako hapa] wenzao kwenye ajira" pia inaweza kuwa kweli kwa kila kabila duniani.

Kuhusu uzoefu wako
Huwa najisikiaga mgumu kidogo kuamini kitu kwa sababu kuna mtu kaniambia. Na sababu ya msingi ni kwamba napenda kuepuka majungu.

Naamini sana kwenye hesabu na sayansi, na majungu mwiko.

Kama unakumbuka tulipokuwa shule za chini kuna kitu tulimegewa wengine wanakiita "Scientific Methods":
1. Observe
2. Formulate hypothesis
3. Experiment/Investigate/Research
4. Conclude

Wewe ulichofanya hapo ni:
1. Ume-observer: kwamba kuna mafundi mchudo waliopewa kazi zisizowahusu; hawa mafundi mchundo ni wachaga; watano kati ya sita katika masaili yao walikuwa ni wachaga;
2. Ukatengeneza hypothesis: kwamba walipendelewa na wachaga wenzao kupata hizo ajira.
3. Experiment/Investigate/Research: Ukairuka (au umesahau kutuambia)
4. Conclude: ukahitimisha kwamba walipendelewa na wachaga wenzao kupata hizo ajira.

Sasa mimi siwezi kujua kama ni kweli au si kweli kwamba wamepewa hizo ajira kwa ukaila. Lakini pia hinsi yako ya kufikia hitimisho hainiridhishi kwamba hitimisho lako linaweza likawa na ukweli.

Nikilichukulia hitimisho lako kama jungu tu usikasirike, ila tumia hiyo kama changamoto ya kutafuta ukweli wa nini kilitokea kwenye interview zao. Ukikuta kulikuwa na interviewee engine wenye sifa na waliachwa, au hao mafundi mchundo kazi wanaifanya kwa ufanisi mdogo zaidi kuliko nyie wenye fani zenu au pengine hawakuwa wanajua kazi kabisa ikabidi nyie wenye kazi zenu ndio muwafundishe, ... pengine unaweza ukawa na case nzuri zaidi. Na hapa hata waweza kumshtaki mtu. Nadhani sheria za nchi haziruhusu ubaguzi, ama?
 
Makabila yote yana tendency ya kupreserve cultures zao na norms zao.....Lakini tunapokwenda zaidi kwenye ethnocentricism ndio hapo unakuja kukuta kuwa wengine wanadhani utamaduni wao ni better kuliko utamaduni wa wengine badala ya kuaccept kwamba tamaduni za makabila ni tofauti na ku ziheshimu tamaduni nyingine bila kwenda further na kuwa na steriotypes.

Waafrika bado hatujapata nafasi ya kujifunza hilo...Kusema wachagga ni wakabila si kweli....Kwasababu bado hakuna aliyeweka wazi kuwa ukabila wao ni nini...Na ndio maana kwenye mjadala huu nakubaliana kwa kiasi kikubwa na Fundi Mchundo kwenye analysis zake...Kwamba tuki extend ile fikra kwamba sisi kama kabila flani ama dini flani ni bora zaidi pale inapokuja kwenye masuala ya ufanisi ni makosa makubwa sana.

Kwasababu hakuna assignment yoyote ile ama kazi na majukumu ya kulijenga Taifa yenye kuwa na vigezo vya kabila ama dini flani....We have to judge based on characters and qualifications thereof.....Tukivuka kihunzi hiki then tunaweza ku prevail....Na kama kuna wale wanaoingiza ubinafsi kwenye usaili wakati wa kuajiri ama kiongozi wakati wa uchaguzi basi ni wazi wanaweza kumchaguwa mtu ambaye ni kabila ama dini yake ili kuwa na ile comfortability ambayo iko derived from selfishness na insecurity....Hivyo tatizo linaweza kuwa kwenye ubinafsi na low self esteem.

Naomba niishie hapa kwasasa.
 
Nadhani maswala ya upendeleo kenye ajira sio ukabila. Nianze kwa kusema zimwi likujuako ..... Niliwai kufanya ´kazi na mashirika 3 ya kimataifa hapa bongo. DANIDA, USAID na lingine nisingependa kutaja maana inaweza kuonyesha identity yangu.

Yote kukiwa na nafasi ya kazi wanatangaza internally kama kuna mtu anayehitaji. Pili wanaitangaza tena internally but inanclude family members, friends, n.k So kuna uwezekano (boss kama ni mchaga) akapata mtu ambaye ni mchaga (labda kasoma nae. ni rafiki yake, ni ndugu yake,n.k) kwa maana angependa kuajiri mtu anayemfahamu. mchapa kazi. mwaminifu, anaweza kuelewa kazi haraaka .... ni lazima atamwajiri maana zimwi likujualo ......

Je AJIRA NDIO KIPIMO KIKUU CHA UKABILA??????????????? naombeni majibu
 
Nimekutolea mifano ya maeneo mawili ambayo nina uhakika nayo kuwa uchaga ndio kigezo cha ajira, pamoja na kuwa wanapotangaza kuna vigezo mahsusi vinatolewa.kama huna imani na nilichoandika, jipe muda ufanye kautafiti, kuliko kukurupuka, halafu uwe unasoma vizuri maelezo yangu.mimi si mkosaji nimekuambia hapo juu kazi nilipata, lakini kilichonishangaza ni pale walipopindisha criteria kwa makusudi ili waajiri chagaz wenzao.labda hujui tofauti kati ya mhandisi na fundi mchundo/fundi sanifu ungeuliza ufahamishwe, usikurupuke.na baada ya kufanya kazi mahali hapo kwa miaka kadhaa nilijifunza mengi sana na kushuhudia mengi sana ambayo yanafanywa kwa misingi hiyo ya ukabila.kama unataka kujua ukweli usibishe kwa kuwa una uwezo wa kubisha, nenda sehemu hizo mbili tu, swissport na barclays uje utuambie hapa.lakini kama nawewe unanufaika na huo upendeleo wa chagaz itakuwa ngumu kukubali ukweli, lazima uendelee kuutetea.

Mkuu kwa heshima zote na taadhima,
Kwa taarifa yako siyo kuwa naongea bila kufanya utafiti au kuwa nauhakika na ninachokisema.Sikurupuki kama unavyodhania, na pia nimesoma vizuri maelezo yako ambayo yamejaa uzushi na majungu tu kama walivyobaini wachangiaji wengine.Kwa sasa naona nisikupe faida sana.Niishie hapa tu.
 
Nyie bisheni tu.
Tulipo hapa TRA tunanyanyasika na uchagazism balaaa.
Tembelea ofisi kibao za TRA asilimia kubwa ni wachaga.
Lakini ukweli unabaki pale pale wachaga wanakaupendeleo balaa.
Tena ndani yao kuna upendeleo wa kimaeneo yaani MMACHAME na MMALANGU au MKIBOSHO n.k ukweli ndo huo unabaki pale
.
 
HOW ABOUT THIS ONE:



There is no Chagga tribe but just different groups of

people living around that mountain of Kilimanjaro with

the following characteristics:





Wasiha: They are too backward. Hawakwenda shule bado

wanavuta ugoro kama wamasai. Wanaume wanatahiriwa

nusu!!! Cha achana nao.





Wamachame: Huwezi kujua nani mwanamke na ni nani

mwanaume. Kila kitu ni pesa. Yaani hata kama ni mkeo

wa ndoa inakuwa hivi " kama hutoi pesa ya mbege ndoa

yangu sikupi babangu" Basi kule Machame chakula cha

ndoa au nimesemaje? Kufanya mapenzi ni kwa kipimo,

ukiwa katikati mama amakwambia stoooooop! Hapo

shilingi hamsini zako ndio zimekwisha, ukitaka ongeza

ndio uendelee. Maulid unasikia nasema MKE WA NDOA!





Wakibosho: Specialized bandits. Akina Mama wakiwa

wanatoa soga na mwenzie utawasikia hivi" Yaani Dadangu

we acha tu yule Alex wangu siku hizi amepefuka kweli,

ana akili we acha tu! Haibi tena mfukoni siku hisi

ameunda kundi lake la ujambasi, Krisimasi hii lasima

nitaletewa fitenge file fya Kongo. Ladies likewise

AKIOLEWA NA KYASAKA baba na mama wanamwambia " hivi

wewe huyu mwanaume kwani ni ndugu yako ? Leta hizo

pesa sake tujengee huku kwetu Manka!!







Wauru: Very boring people, wakikaa ni kuonge kuhusu

shule tuuuuuuuuu, masomo, digrii Yaani yukanoti

bilivu! Babu wa miaka 70 bado madaftari yake ya

primary ameweka sandukuni!! Atawaonyesha wajukuu zake

" Ona hand writing yangu ilivyokuwa nzuri wakati

nafundishwa na Father Wilson Payatt. Wanakumbuka

majina ya waalimu wao hasa wazungu tangu chekechea.

Wanamwogopa sana Mungu. Kengele ya KANISANI ikilia

saa sita utaona wazee wote kilabuni wanaamka na kusali

sala ya mchana ndio wanaendelea kunywa mbege.





WaOld Moshi: Actually Mama Mkapa ni beauty Queen kule

kwao. Yaani mimi sisemi Maulidi nenda kachague wewe

mwenyewe. Wanaume niwabishi! Wanakunywa kisusio cha

Nguruwe!! Na Gongo nyingiiiiiiiiiiiiiiiiii





WaMarangu: Wanaume wote ni waongo. Actually kuna somo

la "jinsi ya kudanya" shule zote za primary kule

Marangu. Both wanaume na Wanawake maisha ni raha tupu.

Kwa Mmarangu halisi, kwanza ananunua gari, anachapa

maisha, nae kulala kwenye gari wakati kodi ya nyumba

inamshinda ni jambo la kawaida.





Warombo: Kazi mtindo mmoja! Wanawake tunawaita

"KUBOTA" aina ya matrekta waliyosambazwa Kilimanjaro

na Wajapani. Watafutaji wa pesa!!!! We acha tu.

Lakini ukimchezea anakuua na kukimbilia Kenya
 
HOW ABOUT THIS ONE:



There is no Chagga tribe but just different groups of

people living around that mountain of Kilimanjaro with

the following characteristics:





Wasiha: They are too backward. Hawakwenda shule bado

wanavuta ugoro kama wamasai. Wanaume wanatahiriwa

nusu!!! Cha achana nao.





Wamachame: Huwezi kujua nani mwanamke na ni nani

mwanaume. Kila kitu ni pesa. Yaani hata kama ni mkeo

wa ndoa inakuwa hivi " kama hutoi pesa ya mbege ndoa

yangu sikupi babangu" Basi kule Machame chakula cha

ndoa au nimesemaje? Kufanya mapenzi ni kwa kipimo,

ukiwa katikati mama amakwambia stoooooop! Hapo

shilingi hamsini zako ndio zimekwisha, ukitaka ongeza

ndio uendelee. Maulid unasikia nasema MKE WA NDOA!





Wakibosho: Specialized bandits. Akina Mama wakiwa

wanatoa soga na mwenzie utawasikia hivi" Yaani Dadangu

we acha tu yule Alex wangu siku hizi amepefuka kweli,

ana akili we acha tu! Haibi tena mfukoni siku hisi

ameunda kundi lake la ujambasi, Krisimasi hii lasima

nitaletewa fitenge file fya Kongo. Ladies likewise

AKIOLEWA NA KYASAKA baba na mama wanamwambia " hivi

wewe huyu mwanaume kwani ni ndugu yako ? Leta hizo

pesa sake tujengee huku kwetu Manka!!







Wauru: Very boring people, wakikaa ni kuonge kuhusu

shule tuuuuuuuuu, masomo, digrii Yaani yukanoti

bilivu! Babu wa miaka 70 bado madaftari yake ya

primary ameweka sandukuni!! Atawaonyesha wajukuu zake

" Ona hand writing yangu ilivyokuwa nzuri wakati

nafundishwa na Father Wilson Payatt. Wanakumbuka

majina ya waalimu wao hasa wazungu tangu chekechea.

Wanamwogopa sana Mungu. Kengele ya KANISANI ikilia

saa sita utaona wazee wote kilabuni wanaamka na kusali

sala ya mchana ndio wanaendelea kunywa mbege.





WaOld Moshi: Actually Mama Mkapa ni beauty Queen kule

kwao. Yaani mimi sisemi Maulidi nenda kachague wewe

mwenyewe. Wanaume niwabishi! Wanakunywa kisusio cha

Nguruwe!! Na Gongo nyingiiiiiiiiiiiiiiiiii





WaMarangu: Wanaume wote ni waongo. Actually kuna somo

la "jinsi ya kudanya" shule zote za primary kule

Marangu. Both wanaume na Wanawake maisha ni raha tupu.

Kwa Mmarangu halisi, kwanza ananunua gari, anachapa

maisha, nae kulala kwenye gari wakati kodi ya nyumba

inamshinda ni jambo la kawaida.





Warombo: Kazi mtindo mmoja! Wanawake tunawaita

"KUBOTA" aina ya matrekta waliyosambazwa Kilimanjaro

na Wajapani. Watafutaji wa pesa!!!! We acha tu.

Lakini ukimchezea anakuua na kukimbilia Kenya

When people are trying to discuss reality you are bringing jokes. Can you post this in Jokes forum?
Hii haina hata chembe ya ladha hapa. Ni utani tu, hayana ukweli wowote.
Jadili mada hapa JE WACHAGA NI WAKABILA? na si hadithi za alfa lela ulela hapa.
 
When people are trying to discuss reality you are bringing jokes. Can you post this in Jokes forum?
Hii haina hata chembe ya ladha hapa. Ni utani tu, hayana ukweli wowote.
Jadili mada hapa JE WACHAGA NI WAKABILA? na si hadithi za alfa lela ulela hapa.

Hii Pointi muhimu!
 
Nyie bisheni tu.
Tulipo hapa TRA tunanyanyasika na uchagazism balaaa.
Tembelea ofisi kibao za TRA asilimia kubwa ni wachaga.
Lakini ukweli unabaki pale pale wachaga wanakaupendeleo balaa.
Tena ndani yao kuna upendeleo wa kimaeneo yaani MMACHAME na MMALANGU au MKIBOSHO n.k ukweli ndo huo unabaki pale
.

ndugu yangu ukisoma post ya mwisho ya bowbow utaona alichokisema kuhusu suala la ajira. na anauliza hivi, JE AJIRA NDIO KIPIMO CHA UKABILA?

MIMI NASEMA HAPANA SIO PARAMETER MOJAWAPO YA KUSEMA KABILA FULANI NI WAKABILA

MIMI NAUNGANA NAE TUZUNGUMZIE MAMBO MENGINE AMBAYO YANAWEZA KUSEMWA KWELI NI UAKBILA NA SIO HILI SUALA LA AJIRA
 
Wana JF sorry for the Joke ila
There is no data or evidence of different arguments provided.
Ukweli ni kwamba chagaz ni watafutaji ni wapiganaji.
This being the case wapo vyema kwenye mambo mengi.
Kukiwa na interview ya kazi mahali wakiitwa watu 10 say, probability ya kuwepo more than one chagaz ni kubwa.
Ukizingatia hawa jamaa wanajituma possibility ya wao kufanya vizuri pia ni kubwa zaidi.

Ukiachilia mbali mambo ya ajira labda wanaweza kuoneka wanaukabila kwenye mambo ya kudumisha mila kwa kuwa na vikundi vya kuzikana tofauti na makabila mengine ambapo mchagga akifia mkoa tofauti na kwao atasafiriswa mpaka nyumabani kwao ili wampumzishe kwa amani na bibize na babuze.

ukiachilia mbali kuzikana pia hivi vikundi huwa vinajaribu kuhakikisha members wake wanafanya vizuri katika swala zima la kujikwamua kiuchumi. Mfano mzuri Tangazo la voda jamaa japo English ilikua tabu jamaa wenzake walimpiga tafu na akafanya business.

Sithani kama jamaa wanaukabila hata kidogo ila wanapenda maendeleo na kila mpenda maendeleo ni Rafiki na jamaa wa karibu zaidi na hawa akina mangi.

hichi kikitumika kama kigezo utakuta wao kwa wao wanakua marafiki sana kwa sababu wanashare common interest.

Jambo jingine la kuonyesha kutoukumbatia ukabila na kukumbatia zaidi maendeleo na professions utaona investment nyingi hazipo mkoani kwao bali zimetapakaa kila kona kwenye nchii hii na utakuta wameajiri watu mbalimbali kwenye hizo biashara zao wakizingatia zaidi ufanisi.
 
Ndugu wanaJF

Naona sasa mada imehamia kwenye ajira kama ndio inayodetermine ukabila. Naomba tujaribu kujibu haya maswali kabla ya kutoa mifano ya sijui ajira, kulzaimishwa kujenga n.k

2. Ni lini tulianza kufikiria Wachaga ni wakabila??????

3. Ni nini kiashirio kwamba kabila fulani ni wakabila????

4. Je ukabila ni tabia ya mtu ama kikundi cha watu?????

5. Ni vipimo gani tunavyotumia kuelezea, kupima na hata kuendeleza ukabila ?????

6. Je ukabila ni kitu ambacho ni endelevu(sustainable)????

7. Je kuna faida na hasara gani ((kwa wachaga na kwa wasio wachaga ) kuwa mkabila???

Maswali yako na majibu nitakayojaribu kujibu yana-apply kwa makabila yote

Jibu la swali No 2
.....hili swali lako linafanya takayejibu kuwa anakubali hilo wazo ya kwamba wachagga ni wakabila and thus has to think of a date!!!........kabila lolote laweza kufikiriwa kuwa ni wakabila kwa wakati wowote.........depending on circumstances......na interpretation ya mtu....which in most cases they are absolutely WRONG.........

Jibu la swali No 3.
.....Pengine yaweza kuwa OPEN upendeleo/kupendeleana

Jibu la swali No 4
.......well it can be both......

Jibu la swali No 5.
....sidhani kama kuna aliye-develop vigezo....kama vipo basi naomba nielimishwe.....otherwise ni VERY SUBJECTIVE

Jibu la swali No 6.
...depending na location and mazingira yanayowazunguka.....so in some areas YES......but in some areas NO

Jibu la swali No 7
...hasara ni kubwa.....kwani inaleta untengano katika jamii tunayoishi...i think everyone knows the consequences za UTENGANO....

Mkuu nilikuwa najaribu kujibu maswali yako
 
Wana JF sorry for the Joke ila
There is no data or evidence of different arguments provided.
Ukweli ni kwamba chagaz ni watafutaji ni wapiganaji.
This being the case wapo vyema kwenye mambo mengi.
Kukiwa na interview ya kazi mahali wakiitwa watu 10 say, probability ya kuwepo more than one chagaz ni kubwa.
Ukizingatia hawa jamaa wanajituma possibility ya wao kufanya vizuri pia ni kubwa zaidi.

Ukiachilia mbali mambo ya ajira labda wanaweza kuoneka wanaukabila kwenye mambo ya kudumisha mila kwa kuwa na vikundi vya kuzikana tofauti na makabila mengine ambapo mchagga akifia mkoa tofauti na kwao atasafiriswa mpaka nyumabani kwao ili wampumzishe kwa amani na bibize na babuze.

ukiachilia mbali kuzikana pia hivi vikundi huwa vinajaribu kuhakikisha members wake wanafanya vizuri katika swala zima la kujikwamua kiuchumi. Mfano mzuri Tangazo la voda jamaa japo English ilikua tabu jamaa wenzake walimpiga tafu na akafanya business.

Sithani kama jamaa wanaukabila hata kidogo ila wanapenda maendeleo na kila mpenda maendeleo ni Rafiki na jamaa wa karibu zaidi na hawa akina mangi.

hichi kikitumika kama kigezo utakuta wao kwa wao wanakua marafiki sana kwa sababu wanashare common interest.

Jambo jingine la kuonyesha kutoukumbatia ukabila na kukumbatia zaidi maendeleo na professions utaona investment nyingi hazipo mkoani kwao bali zimetapakaa kila kona kwenye nchii hii na utakuta wameajiri watu mbalimbali kwenye hizo biashara zao wakizingatia zaidi ufanisi.

Now you talking! kumbe uliyajua yote haya. Let us move on.
Labda na tujiulize, na tunapokutana nje ya Tanzania, tunavyopendana na kupeana issue kuwa pale ni hivi na hapa ni hivi ni UKABILA? Hakuna atakayepinga kuwa tunapokutana ughaibuni hatupendani, hata kama tulikuwa na bifu,, huanza upya! Hii ya kupendana, kusaidiana na kuheshimiana na kupeana tafu ni kitu cha kawaida kabisa kwa watu wanaotoka sehemu moja. Tunawapenda na kuwaheshimu Wakenya na Waganda lakini Watanzania Wanapendana zaidi wanapokuwa nje ya nyumbani. Hata wazungu wa mathalani Uholanzi wanajijua wako wangapi East Africa. They have what we call here NETWORKING!
 
Mkuu kwa heshima zote na taadhima,
Kwa taarifa yako siyo kuwa naongea bila kufanya utafiti au kuwa nauhakika na ninachokisema.Sikurupuki kama unavyodhania, na pia nimesoma vizuri maelezo yako ambayo yamejaa uzushi na majungu tu kama walivyobaini wachangiaji wengine.Kwa sasa naona nisikupe faida sana.Niishie hapa tu.[/QUOTE]

WOS,
suala hapa sio kunipa faida, hapa tuna mada tuna ijadili kwahiyo unapaswa kutoa hoja yako niisome na kama nitaona ina mashiko basi nitaifanyia kazi na pengine nitabadili mtazamo nilionao dhidi ya chagaz.lakini kusema kuwa utanipa faida hicho ni kichekesho, inaonekana huna hoja au umeishiwa.hao wengine unaowazungumzia waliotoa maoni yao, unaona mwenyewe jinsi walivyojenga hoja zao.ni vizuri ukaishia hapo kwa kuwa umeishiwa hoja, waache wenye hoja waendelee kujadiliana.Pamoja na hayo nashukuru kwa mtazamo wako.
 
Je, mtu akionesha kwamba kwenye argument yako kuna contradiction upo tayari kutumia busara, kukubali kwamba umekosea na kuifikiria upya, au utaendelea tu kuitetea hivyo hivyo?
[/B]
mkuu manitoba,
kwanza kabisa mniwie radhi kwa kushindwa kuwepo kwenye mjadala kwa muda mrefu kidogo najua mna mambo muhimu wanaJF mlitaka namimi nipate kuyafahamu kupitia kona hii.Mambo ya mwisho wa juma yalinilemea kidogo.
ahsante sana kwa maelezo yako marefu yenye hoja ndani yake.nakuhakikishia wewe pamoja na wanaJF wote kwamba niko tayari kubadilisha mtazamo nilio nao dhidi ya chagaz iwapo kutatolewa hoja za msingi kuonyesha upungufu wa mtazamo wangu na kudhihirisha uadilifu wa hawa jamaa zangu.
nakusubiri mkuu.
 
[/B]
mkuu manitoba,
kwanza kabisa mniwie radhi kwa kushindwa kuwepo kwenye mjadala kwa muda mrefu kidogo najua mna mambo muhimu wanaJF mlitaka namimi nipate kuyafahamu kupitia kona hii.Mambo ya mwisho wa juma yalinilemea kidogo.
ahsante sana kwa maelezo yako marefu yenye hoja ndani yake.nakuhakikishia wewe pamoja na wanaJF wote kwamba niko tayari kubadilisha mtazamo nilio nao dhidi ya chagaz iwapo kutatolewa hoja za msingi kuonyesha upungufu wa mtazamo wangu na kudhihirisha uadilifu wa hawa jamaa zangu.
nakusubiri mkuu.

Hakuna tatizo mkuu, karibu sana.

Lengo hapa pengine sio kukubadilisha wewe msimamo, maana hiyo siyo kazi yetu. Msimamo wako ni msimamo wako. Lengo nikujaribu kwa pamoja kutengeneza fikra sahihi. Tukishakuwa na fikra sahihi kila mmoja ataamua msimamo wake, kivyake; mimi hainihusu. Kuwa na msimamo sio tatizo, tatizo ni kuwa na msimamo unaotokana na miss-information, au skewed logic. Halafu kutaka msimamo wako uchukuliwe na wengine kama ndio ukweli.

Weather unaamini kwamba wachaga ni wakabila ama la, kama msimamo wako haujatokana na ukweli, au kama haujatokana na valid logical conclusions ya mambo ya kweli, basi msimamo wako si sawa, hata kama ni thabiti.

Ili kuondoa utata: ukweli ni mambo yaliyothibitika na yanayoweza kuthibitika. Kwa lugha ya wenzetu, tunayoweza kuya-verify. Statement kwamba "ofisi xyz ina wachaga 15 na wasio wachaga 2" ni verifiable, kwa hiyo tunaweza kuutambua ukweli wake kirahisi. Statement kwamba "maamuzi ya bosi xyz yanatoka kwa mkewe" kidogo itakuwa ngumu kui-verify. Kwa hiyo kama wachangia mada tunaweza kukubaliana kutoa tu statements ambazo wenyewe binafsi tunameridhika nazo, na ambazo tunaweza kuzi-verify, huu mjadala unaweza kuwa mzuri sana.


Kuainisha Ukabila


Naomba pia niseme uelewa wangu wa ukabila unaozungumziwa humu ndani ili tusije tukawa tunazungumzia vitu tofauti kiasi kwamba tunalumbana na kukosa kuelewana kumbe ni kwa sababu tu kila mmoja anazungumzia kitu tofauti na pengine kila mmoja yupo right.

Sasa ukabila unaozungumziwa na kunung'unikiwa humu ni ile hali ya mtu mmoja kumpa upendeleo mtu mwingine kwa kigezo kwamba wao ni wakabila moja. Kwa mfano wa ajira, ni kwamba kunaweza kukawa na watu wawili wanaosailiwa, na akamchagua yule anayetoka kwenye kabila lake na kumuacha yule mwingine kwa kigezo kwamba huyu ni wa kabila lake, ijapokuwa ana vigezo vya chini ya yule mwingine. Na hata wakiwa na vigezo sawa, pia kumchagua yule wa kabila lako kwa kutumia kigezo cha kabila. Huo ndio ukabila unaotolewa macho humu ndani.

Na ukabila huu unadhihirika pale mtu anapotakiwa achague mtu mmoja kati ya watu kadhaa wa kumpa kitu au huduma au [chochote], na huyu mtu akatumia kigezo cha kabila kufanya uchaguzi wake.

Kama mtu hana hizo options za kufanyia uchaguzi, mimi nadhani hatuwezi kuhitimisha kwamba mtu huyu ni mkabila ama la kwa kuangalia jinsi anavyofanya huo uchaguzi. Kwa mfano ukiwa kilimanjaro unatafuta mlinzi, kuna uwezekano mkubwa ukapata mchaga na sio msambaa, kwa sababu pengine wote watakaokuja kwenye usahili ni wachaga; hapo huna option bali kumchagua mchaga.

Na kama huyo mtu ana hizo options na akatumia vigezo vinavyotakiwa katika uchaguzi huo (ambavyo havijumuishi kigezo cha ukabila), na mwisho akamchagua mtu wa kabila lake, basi huyu mtu hatuwezi kumchukulia kama mkabila.

Naomba nitofautishe huo na aina nyingine za ukabila, maana bila kufanya hivyo tutakuwa tunalumbana tu humu ndani mpaka mwisho wa dunia. Kwa uelewa wangu mdogo, tukitoka nje ya hapo hatutapata suluhisho.

Setting the stage ...

Sasa mkuu Mwita naomba labda tuanze kwa kupata statement yako hasa ili tusiwe tunahukumiana kwa yasiyo ya kweli. Naomba utuambie kati ya haya manne, ni lipi ndilo unaloaliamini. Au kama ni lingine tofauti pia jisikie huru kutuambia pia, ili mradi liwe rahisi kueleweka (a simple logical statement):

1. Wachaga wote ni wakabila
2. Wachaga wengi ni wakabila
3. Wapo wachaga ambao wakabila
4. Wachaga wachache ni wakabila

Nime-notice pia umetaja kuhusu "uadilifu wa hawa jamaa". Kwa sababu uadilifu ni swala lingine (jipya kwenye mada hii) ningeomba pia uchague kati ya haya ni ipi ndio statement yako:

1. Wachaga wote si waadilifu
2. Wachaga wengi si waadilifu
3. Wapo wachaga ambao si waadilifu
4. Wachaga wachache si waadilifu

Baada ya kutupa statement yako, kwanza tutaangalia tunahitaji kuonyesha nini ili ku-prove au ku-disprove hiyo statement.

Halafu, tutajaribu kuifanyia kazi, kuijaribu, na kuichambua. Ikibidi ku-experiment pia tutafanya ili tuchambue facts from myths. Kama ikibidi kumsafirisha mtu aende huko uchagani tunaweza pia kujaribu ... :)

Na baadaye tutajaribu kutengeneza logica conclusion.

Kwa hiyo muheshimiwa Mwita tunakusikiliza ...
 
Ndugu wanaJF

Kwanza niwashukuru kwa michango yote mliyotoa kwenye mada hii bila kuwepo kwa jazba.

Lakini nimeshindwa pamoja na mabandiko zaid ya 50 bado nimeshindwa kufahamu kwa nini tunasema wachaga ni wakabila.

Nimeshindwa kupata jibu ni lini wachaga walianza kuwa wakabila.

Nimeshindwa kupata jibu kuwa ukabila kama ni tabia ya kundi la watu ama mtu mmoja mmoja. Nilichoweza kuona ni kwamba ukabila ni tabia ya mtu mmoja mmoja na imejionesha zaidi sehemu ya kazini (upendeleo wa ajira). Hivyo hatuwezi kusema wachaga ni wakabila kwa kutumia tabia ya mtu mmoja mmoja.

Nimeshindwa kupata vipimo vitumiavyo kuashiria kabila fulani ama watu fulani ni wachaga zaidi ya kutoa mifano ya ajira. Ukijiuliza je sehemu za kazi zenye mabosi wasio wa kichaga (hata wa kizungu) ambao ndio wanaajiri kumekuwa na wachaga zaidi ya wawili nao wamekuwa wakabila bado sipati jibu na nadhani sitopata jibu.

Nimeomba kujulishwa athari za ukabila na hata hizo sehemu za kazi ambazo wachaga wamejipendelea ni zipi bado sijapatiwa jibu.

Niliuliza kama ukabila unaweza leta maendeleo ama ni mpango endelevu sijapatiwa jibu.


Kutokana na maelezo hayo po juu, kukosa majibu ya maswali naweza kuhitimisha yafuatayo.

1. Labda hatujui maana halisi ya ukabila hivyo tumeanza kunyosheana vidole kwa chuki, husda ama kwa sababu za kisiasa na kiuchumi kwa kuitana wakabila
2. Tabia za mtu mmoja mmoja zimekuwa aggregated kuwa za kikundi (stereotyping) ambayo inaweza leta madhara na hata kuwafanya sasa wawe wakabila kwa kujihami.
3. Suala la ajira sababu iko wazi (shule ndio kigezo), angalia sehemu za kazi zilizoshikiliwa na wachaga, nenda kwenye vyuo angalia wachaga wanaosoma hiyo course ni asilimia ngapi and so tegemea kwenye sehemu za kazi. Mfano wahaya wanajulikana fani yao, wanyakyusa, wakurya, na makabila mengine hivyo hivyo wachaga kama hayo makabila.

4. Ni muda wa sasa wa sisi kugeuza jinsi tunavyofikiria (YES WE CAN) na tunaweza kubadilisha fikra zetu.

Asante kwa kuchangia hii mada na naomba mod wanisaidie jinsi ya kuweka sehemu ya kupiga kura then ikifika friday kura zitahitimisha mjadala huu na kuifunga. asanteni

Bowbow
 
Siri ya mafanikio ya Wachagga ni neema na rehema ya Bwana Yesu Kristo. Bwana Yesu ndie amekua akiwasaidia kwa muda mrefu. Hata ule uamuzi wa mababu zao kusettle kwenye mlima Kilimanjaro ilikua ni msaada wa Bwana Yesu. Bwana Yesu ndie aliwalinda wasiwe katikati ya njia kuu za misafara ya utumwa. Aliwasaidia wawakubali wamissionari wakikristo. Aliwalinda wasinyang'anywe ardhi yao kipindi cha ukoloni. Aliwalinda na anawalinda dhidi ya fitina za kisiasa baada ya uhuru.

Ni muhimu sana kwa Wachagga kuijua injili ya kweli kabisa (bila kujali madhehebu yao) hata kama kwenye maisha yao halisi watakua hawaifuati kikamilifu.

1) Yesu Kristo kwa kiebrania ni Yahushua Mashiah. Yahushua maana yake ni YAHWEH is Salvation. YAHWEH ni Mungu wa Abraham, Isaac na Jacob.

2) Yesu alizaliwa during the Feast of Tabernacles.

3) Siku takatifu ya kikweli kweli kabisa inaanza Ijumaa jioni (jua linapozama) na inaisha Jumamosi jioni (jua linapozama) (Seventh day Sabbath). Avoid kufanya dhambi muda huu (of course tunatakiwa tu avoid kufanya dhambi muda wote).

4) Waafrika weusi (including Wachagga) ni watoto wa Noah kupitia Ham kupitia Mizraim, Cush and Phut.

5) Ni vizuri watu wote (including Wachagga) wa avoid pride, arrogance, malice, hatred and envy.

Mafanikio ya kidunia yatatokana na:

1) Ku successfully participate in the major means of production, distribution and exchange in the economy in an atmosphere of low inequality.

2) Ku successfully participate in the neo-liberal global economy.

3) Kushirikiana vizuri na watu wengine, na kuavoid mahusiano yanayoleta hasara.

4) Majority ya Wachagga wajitahidi kupata elimu ya form 6 na kuendelea.

5) Kuishi a healthy lifestyle (including exercising), itakayowawezesha kuishi kwa muda mrefu huku wakiwa na afya njema kabisa.

Bwana Yesu Kristo anapenda mataifa yote yawe na nuru ya injili ya kweli. Anapenda kuwa na wafuasi kwenye mahema yote ya Shem, Ham na Japheth.

Ni vizuri watanzania waishi vizuri na kushirikiana vizuri na Wachagga (hususan Wachagga waadilifu) katika nyanja mbali mbali kama ambavyo wamekua wakifanya kwa muda mrefu. Ukiona Mchagga muadilifu ana mafanikio ujue sio kwa msuli au akili yake bali kwa neema ya Bwana Yesu Kristo. Kwa hiyo njia bora ya watanzania kufanikiwa ni neema ya Bwana Yesu Kristo.

Asante
 
Wachagga ni wachapa kazi kabla hata ya wazungu na waarabu kuja.

Ni kweli hali ya kiuchumi ya wachagga kwa sasa sio nzuri. Hali hii mbaya ilianza baada ya vita vya Uganda, ilizidishwa na economic crisis ya miaka ya mwanzo ya 1980s. Wimbi la privatisation na kurekebisha mashirika ya umma liliwaumiza pia, kwani wafanyakazi wengi wachagga walipunguzwa kazini. Kuporomoka kwa bei ya kahawa miaka ya 1980s. Gonjwa la ukimwi liliwaumiza sana wachagga pia. Muamko wa kimaisha wa mikoa mingi ya Tanzania vile vile imetoa ushindani wa kiuchumi kwa wachagga. kumbuka ni haki, kwa mikoa yote kuamka kimaisha.

Baada ya uchaguzi mkuu wa 1995 wachagga wengi waliondolewa kwenye system ya ndani, ingawa civil servants wachagga bado walikuweko.

Matatizo ya kiuchumi ya sasa ya nchi yalianza baada 2010. Baada ya 2010 serikali ndio once again ikaanza kukopa madeni ya nje kwa riba za kibiashara, hususan baada ya wafadhili kupunguza misaada kwasababu ya scandals zilizotokea wakati huo.

Kwa sasa familia nyingi za wachagga zimeyumba kiuchumi, ingawa wachagga wengi bado wanaweza kuafford vitu vya msingi. Bottom 1/3 wameyumba sana, 1/3 inayofuata wameyumba wastani. 1/3 ya juu wameyumba kidogo. Theluthi ya hiyo 1/3 ya juu, yaani 1/9 top economic group ya wachagga ndio bado wako vizuri. Wachagga vijana wasio na ajira, wachagga wenye ajira zenye mishahara midogo, wachagga wenye ardhi kidogo ya kilimo, wachagga wenye biashara ambazo hazipati faida, pamoja na wachagga wazee wengi wao wameyumba pia. Wachagga ambao wako vizuri ni wale wenye ajira nzuri zenye mishahara mizuri, wenye biashara ambazo bado zinapata faida, wenye ardhi kubwa ya kilimo, na shughuli nyingine ambazo zinaenda vizuri. Familia zilizoyumba kiuchumi mara nyingi huwa zinakuwa na mivutano ya ndani kwa ndani.

Uzi huu unawatia moyo wachagga wakumbuke nguvu yao ya mafanikio inatoka wapi. Na huenda original plan ya Mungu wa Israel ilikua Tanzania iongozwe na wachagga waadilifu tokea uhuru. Ila aliruhusu mambo yawe yalivyokuwa ili wachagga watakapo ongoza nchi makabila mengine yasinung'unike. Na vile vile watakapo ongoza nchi (au wasipo ongoza nchi) waishi kwa kumtegemea Mungu. Kwahiyo ni vizuri watu wakajua kwamba kuwasambaratisha wachagga waadilifu kunaweza kusimfurahishe Mungu wa Israel. Wachagga wawe na subira kwani kipindi cha miaka 70 baada ya uhuru kikija (mwaka 2031) basi hali ya wachagga inaweza ikaanza kua nzuri sana kwa kipindi kirefu. Kuna uwezekano pia hali hiyo isi improve. Pia kuna uwezekano baada ya 2031 akaja Rais mprotestanti atakaependa wachagga, kuna uwezekano hili lisitokee pia.

Pamoja na maelezo hayo marefu kuna wachagga wengi ambao Bwana Yesu anawapigania na kuwasaidia wafanikiwe kimaisha hata kwenye vipindi vigumu. Bwana Yesu pia anagusa mioyo ya watu wa makabila mengine na kuwafanya washirikiane vizuri na wachagga waadilifu. Also indeed ukiweza kuangalia mioyo ya watanzania waadilifu utaona wengi wao kisiri siri wana amini akipatikana Rais mchagga muadilifu, mchapa kazi, mwenye exposure, mwenye akili na ubunifu, nchi itapiga hatua kubwa sana kimaisha na kimaendeleo.

NB: Matatizo mengi yaliyo tajwa hapo juu yamewapata pia watanzania wengine. Also Bwana Yesu anawapenda watu wote.
 
Wachaga kwa maoni yangu hawana ukabila bali ni watu ambao wanajua kuhangaika ama kuhakikisha wanapata elimu nzuri au kibiashara. Wachaga hawajalemaa kwa kubakia mkoani kwao tu wamesambaa Tanzania nzima na huko wengi wao wanafanya biashara ambazo nyingi zimeshamiri mno. Wachaga pia wamefumbuka macho mapema kuhusu CCM kuliko kabila jingine lolote ndiyo maana Kilimanjaro chama cha mafisadi hakioni ndani Kilimanjaro.

Sababu kubwa ya CCM kutaka CHADEMA ionekane kama ni chama cha Wachaga ni kwamba CHADEMA ndiyo tishio kubwa la CCM hivyo wakishawapakazia kwamba ni chama cha wachaga basi hawatapata kura za wananchi wengine na hivyo kuihakikishia CCM kuendelea kupeta, lakini hili la CHADEMA kuwa ni chama cha wachaga bado haliingii akilini miongoni mwa Watanzania walio wengi ndiyo maana CHADEMA ikaweza kuwabwaga tena CCM huko TARIME.

Mbeya nako wanaanza kufunguka macho kuhusu CCM hali ikiendelea hivi na CCM kuanza kupoteza chaguzi mkoani humo Wanyakyusa nao wataambiwa wana ukabila, divide and conquer.
Nauona utetezi huu kwa maana nyingie kabisa! Yaani wachaga wanahangaika mikoa ya wengine lakini wao hawaruhusu makabila mengine kuhangaika mkoani mwao! Makabila mengine yanatengwa hata kuosha magari. Ukifungua duka hupati wateja. Anayetoka Machame anakuja akijua duka la mmachame liko kona gani!

HAwa ni bure. Ni wakabila simple. Hazusimulii ya kuambiwa. Tumeishi nanyi tunafahamiana.
 
Back
Top Bottom