Ni nini kiashirio kwamba kabila fulani ni wakabila?

Tuepuke sana mambo ya ukabila yasije yakatufikisha walikofikia majirani zetu hivi karibuni. Watanzania tujitahidi sana kulinda umoja wetu na mshikamano, la sivyo tutakuja juta muda si mrefu.

Leo tutasema Wachagga, kesho siyo wachagga tena bali itakuwa Warombo vs. Wamarangu na hii haitaishia hapo, itafika Warombo wa Mkuu vs. Warombo wa Mamsera na kisha itakuwa kaya vs. kaya nk.

Kisha tutaishia kuwa kama Wasomali. KABURU NI KABURU TU HATA KAMA NI RANGI NYEUSI AU MTANZANIA.
 
Nakuwa mwoga kidogo kujadili mada hii kwani ni juzi tu nilikuwa nasikiliza hotuba ya Baba wa Taifa, Mwl. J.K. Nyerere akilaani ukaburu na makaburu na kusisitiza kwamba kaburu siyo lazima awe mzungu tu bali hata Mtanzania anaweza kuwa kaburu kwa kukumbatia ubaguzi na ukabila.

Kwani Wachagga wamefanya nini hadi mada hii iletwe sebuleni maana kama wangekuwa wamekaa na kuja na sera za ukabila wakati wanapokwenda kuhiji kipindi cha Christmas kweli tungesema wanaanzisha ukabila. But why pick on Chaggas?

Halafu Bubu ataka kusema amekwenda nje ya mada, mtoa hoja alitaka tuzungumzie ukabila na wala siyo siasa. Mambo ya siasa yana sehemu yake hapa jamvini labda post yako uipeleke huko.

KABURU NI KABURU TU HATA KAMA NI MWEUSI AU MTANZANIA. Hebu na tujaribu kuimarisha U-Tanzania na umoja wetu na tuachane na mambo ya ukabila.


Kwaherini.
 
Ukiuliza ama ukitafiti kuhusu ukabila ama dhana yoyote ile hakikisha hao unaowauliza wanamaanisha kilekile wanaposema "ukabila". Nitakupa mifano. Kuna watu wakikuta idara fulani ya serikali au kampuni kuna wachaga wengi wanalalamika ukabila, lakini wakikuta "shoe-shiners" wengi pia ni wachaga, hapo ati si ukabila! Wakikuta viwanja vya kujengea nyumba vimegawiwa sehemu fulani na wengi waliovipata ni wachaga watu wanalalamika ukabila, lakini wakikuta wauzaji wengi wa "kitimoto" ni wachaga pia, ati hapo si ukabila! Wakikuta wanafunzi wengi walioingia university mwaka huu ni wachaga watalalamika ukabila, lakini wakikuta miongoni mwa watu wanaohangaika kuhakikisha wamesomesha watoto wao shule za sekondari hasa za binafsi wengi wao ni wachaga pia, hapo ati si ubinafsi! Wakikuta waliokopa pesa nyingi katika benki na SACCOS na kupewa ni wachaga watasema ukabila, lakini wakisikia pia katika watu wanaofia kwenye ajali za machimbo ya Tanzanite huko Mererani wengi wao ni wachaga pia ati hapo si ukabila!

Sasa kumbe ukabila ni kitu gani, na hao wachaga wana nini hadi mtu akataka wafuatiliwe kuhusu ukabila?

Walinzi wengi binafsi huko mijini Dar na kwingineko ni wamasai (zamani ilikuwa wamakonde), nayo ni ukabila pia? Wauza mayai wengi, wale kutoka Ukonga, Kiwalani, Kitunda,wanaopita na misafara ya baiskeli yenye matrei ya mayai yaliyopangwa urefu hadi kumzidi mwendeshaji, wengi wao ni wakurya, ni ukabila pia? Vipi kuhusu wasichana kutoka Iringa wanaofanya kazi ya uyaya Dar, kwa wingi kuliko makabila mengine, ni ukabila?

Asante. Hapo umesema!
 
Heshima yako MKJJ,
najua utakuja tena ukiwa na lundo la utetezi, tunakujua jinsi ulivyo na utetezi biased kwa hawa ndugu zetu.na hata kama umetoa posa haina mantiki yoyote kusema kuwa umejitoa na kuwataka na wengine wenye maslahi fulani fulani na chagaz kujitoa kuboresha thread hii.jitoe kwenye mjadala wewe kama wewe.unajua kuna watu wengi mnaoamini kuwa kuwa wale wanaosema chagaz wana ukabila labda ni chuki, wivu au husda.lakini ukweli ni kuwa kuna baadhi ya vitu viko wazi sana wala huitaji kuwa na elimu kiasi gani kuvitambua kwamba vinafanywa kwa misingi ya ubaguzi wa kikabila.[[COLOR="Red"]B]Binafsi sina chuki wala wivu na chagaz lakini kuna baadhi ya mambo ambayo huwa sikubaliani nayo kutokana na kuendekeza huo uchagaz[/B].[/[/COLOR]SIZE]



Ingesaidia kuboresha mjadala kama ungetaja hayo mambo au vitu unavyosema Mkuu ili ionekane kweli kuwa huna chuki binafsi dhidi ya hao watu.Vinginevyo ni wazi kabisa kuwa huna hoja dhidi yao.
 
Mkuu heshima mbele

naona now tunaelekea maana tunaanza kuujadili huoja UKABILA NI NINI na ni KIPIMO gani tutumie tuseme huo ni ukabila.

Mimi ni mchaga sitopenda kutake side nitamoderate tu hii topic[/QUOTE]

Katika kuchangia, my observation kufuatia ulichosema hapo juu na pia alichosema MKJJ, ni kuwa hata humu JF basi kuna wachagga wengi na pia wanachama wengi tu wenye affiliation nao.
Je huu ni ukabila pia?
Nani aliwaingiza humu JF?
Makabila mengine yalizuiliwa na nani kujiunga kwa wingi ?

Tutafuta mchawi na kujenga hoja zisizo na tija kisa chuki dhidi ya kabila la wachagga.Katika mchakato mzima wanazidi kupata umaarufu tu, na hata kama kuna chuki binafsi dhidi yao haziwanyimi usingizi wala hazitawazuia jitihada zao kutafuta maisha popote.Riziki ni popote wakizuiliwa upande mmoja wataenda upande mwingine maana kwanza hawachagui kazi wala shughuli mradi inawaingizia kipato.Na hiki ndicho kinachowashinda wengine.Someni mchango wa Kithuku kwa makini.
 
Mkuu heshima mbele

naona now tunaelekea maana tunaanza kuujadili huoja UKABILA NI NINI na ni KIPIMO gani tutumie tuseme huo ni ukabila.

Mimi ni mchaga sitopenda kutake side nitamoderate tu hii topic[/QUOTE]

Katika kuchangia, my observation kufuatia ulichosema hapo juu na pia alichosema MKJJ, ni kuwa hata humu JF basi kuna wachagga wengi na pia wanachama wengi tu wenye affiliation nao.
Je huu ni ukabila pia?
Nani aliwaingiza humu JF?
Makabila mengine yalizuiliwa na nani kujiunga kwa wingi ?

Tutafuta mchawi na kujenga hoja zisizo na tija kisa chuki dhidi ya kabila la wachagga.Katika mchakato mzima wanazidi kupata umaarufu tu, na hata kama kuna chuki binafsi dhidi yao haziwanyimi usingizi wala hazitawazuia jitihada zao kutafuta maisha popote.Riziki ni popote wakizuiliwa upande mmoja wataenda upande mwingine maana kwanza hawachagui kazi wala shughuli mradi inawaingizia kipato.Na hiki ndicho kinachowashinda wengine.Someni mchango wa Kithuku kwa makini.


WoS,

Sidhani kama ni chuki na wachaga, pengine ni envy tu.
 
Nakuwa mwoga kidogo kujadili mada hii kwani ni juzi tu nilikuwa nasikiliza hotuba ya Baba wa Taifa, Mwl. J.K. Nyerere akilaani ukaburu na makaburu na kusisitiza kwamba kaburu siyo lazima awe mzungu tu bali hata Mtanzania anaweza kuwa kaburu kwa kukumbatia ubaguzi na ukabila.

Kwani Wachagga wamefanya nini hadi mada hii iletwe sebuleni maana kama wangekuwa wamekaa na kuja na sera za ukabila wakati wanapokwenda kuhiji kipindi cha Christmas kweli tungesema wanaanzisha ukabila. But why pick on Chaggas?

Halafu Bubu ataka kusema amekwenda nje ya mada, mtoa hoja alitaka tuzungumzie ukabila na wala siyo siasa. Mambo ya siasa yana sehemu yake hapa jamvini labda post yako uipeleke huko.

KABURU NI KABURU TU HATA KAMA NI MWEUSI AU MTANZANIA. Hebu na tujaribu kuimarisha U-Tanzania na umoja wetu na tuachane na mambo ya ukabila.


Kwaherini.

Tupende tusipende, kuna watu wengi wana matatizo na wachaga. Kuna myths nyingi kuhusu hawa ndugu zetu. Nyingine ni za kiutani lakini kuna nyingi tu zinaashiria chuki. Ili kuung'oa huu mzizi inabidi tuzijadili hizo myth. Na baadae tupanue wigo kuelekea kwa makabila mengine kama wahaya, wanyakyusa, wahehe, wanyasa, wazaramo n.k. Tukienda huko ndiko tutajua kuwa sisi sote tuna haka kamdudu!
 
Ukabila ni pale ambapo mtu anakosa kupewa kitu fulani kwa sababu si kabila fulani. Kwa mfano unaomba kazi unaambiwa kuwa vigezo vya elimu na ujuzi unavyo lakini kwa sababu si kabila fulani huwezi kupata kazi.
Ukabila unapungua kwa kiasi kikubwa sana, miaka fulani iliyopita ukienda TRA kama vile upo uchagani nenda Bima kama upo Unyakyusani si kweli kwamba makabila hayo ndo yanapenda kufanya kazi hizo tuu, ukitaka kujua kiini uliza nani alikuwa bosi wao. kama CEO ni mchaga/Mnyakyusa hadi wafagiaji watakuwa wachaga/wanyakyusa huu ni mfano tosha kabisa unaonyesha jinsi gani ukabila ulivyokuwa mahala pa kazi
Zamani kidogo wakati nafanya kazi Tanzania ilitokea kwenye kitengo changu ambacho mimi nilikuwa mkubwa, chenye watu wa 5 watu 3 tulikuwa tunatoka mkoa mmoja. Na sikujua hilo hadi jamaa wa kwanza alipoleta maombi ya likizo akionyesha anaenda mkoa ninaotoka, ndo nikamuuliza kumbe tulikuwa kabila moja. hii ilikuwa baada ya mwaka. lakini nafasi zote 3 zilitangazwa kwenye gazeti na wao ndo wakapatikana. So sometimes mambo kama hayo yanatokea bila kupangwa.
.
Ninaweza kukubaliana nawe kidogo kama unatoka mikoa ile yenye mchanganyiko mkubwa wa makabira k.v Dar, watanzania hatuulizani makabila lakini nikijua family name yako ni Shayo, Masawe, Mwambulukutu, Kamugisha nitajua moja kwa moja wapi unakotokea na kabila lako, sasa nashangaa ukiwa mkuu wa kitengo hukuweza kutambua makabila ya watu wa kwenu!!!!

Hitimisho langu ni kwamba ukabila ni prejudice against other kabilas
..
 
Binafsi si dhani kama wachaga wanaukabila labda ni mtazamo wa mtu mmoja mmoja manake jamaa tuko nao, tunafanyakazi pamoja, tunaishi pamoja na tunshirikiana. Labda ninachoweza kuona ni jamaa wanatatizo la rasilimali ardhi na wametoka kwao na kwenda kutafuta mbali na kwao. Jamii yeyote inayopitia hatua, lazima watakuwa pamoja huko waendako kwa kuwa wanafana malengo ya kutoka kwao.

Sidhani kama wakirudi kwao wanakuwa kitu kimoja, kwa mfano kuna Wamachame, wakibosho, wahuru, warombo, wamarangu na n.k, bado humo humo kuna wakristo na waisilamu, na ukristo kuna madhehebu vile vile. Kwa mtazamo wangu ni sawa tu na waafrika wanapokutana ulaya na marekani na kujiona wao wamoja.

Kuwa na rasilimali chache kunalazimisha watu kujenga hisia kwamba watu wanapendeleana kutoka jamii zao kama alivyonukuliwa askofu mmoja aliyepinga Tanzania isijiunge na OIC kwa sababu watanzania wanahisia kwamba taasisi hiyo itawapendelea waislamu , na hakuna haja ya kuendelea na mchakato wakati hisia zishapotoka na Prof. Lwetama alisema hisia zisipuuzwe na zifanyiwe kazi, kwa mantiki hiyo namalizia kwamba hisia baina ya jamii ya kichagga isipuuzwe hata kama wenyewe wanaona sio hivyo. kwanini wao tu! Tofauti na hizo hisia mie sioni ukabila.

Mbona hata tukiwatokea mademu wa kichaga hawatutosi wakati wengine ni wanyamwezi tu kutoka Nzega, Urambo, Uyui na Usoke.
 
The main deal here is intergration and not disintergration. We need to be one. It will be a vicious cycle of tribal discrimination. Tuta-arrange, evaluate and analyse and finally we will rank each tribe with regards to the subject matter and end up in most ever complicated genocide ever happened under the sun.

Mwenye thread afute au abadilishe mwelekeo asije kuwa chanzo cha chaos na masikitiko Tanganyika.
 
Kwa mtoa mada.

Neno kabila kama yalivyo mengine yametokana na neno qabila toka ghuba ya uajemi -yaani kiarabu. Kwao ilimaanisha "... a tribe is a group defined by perceived descent from a common male ancestor".

Inaendelea ...The word qabila (tribe) refers not only to a kinship group but also to a status category: ... bila shaka kwa maoni yangu kuwa ukabila ni pamoja na kujaribu kuwa sawa kwa -hadhi, uchumi, kijamii n.k Kwa mantiki hii watu wanaotoka sehemu moja; kuzungumza lugha moja wanakuwa "kabila" moja lakini ukabila utakuwepo tu kama kuna juhudi za wao wote kutaka kuwa matawi ya juu. Kama wote ni walala hoi -kwa definition ya kiarabu-hakuna ukabila hapoooo.
 
Mara nyingine, watu wenye ukabila, kwa kutumia kile katika saikolojia kinachoitwa "projection", kwa kuwa wao wanao ukabila, na wanaujua ukabila vizuri sana, basi huona kila kitu kidogo kabisa ambacho kinaweza kutafsiriwa kuwa ukabila kama ukabila.

It's a thin line between ukabila na tribal camaraderie, ukikuta watu wanaongea lugha ya kwao mtu mwingine anaweza kusema hii ni tribal camaraderie, na inabidi tuzienzi lugha zetu za nyumbani zisije kufa kabisa,na hawa watu wana haki ya kuongea cha kwao.Mtu mwingine atakayewaangalia watu hao hao atasema wakabila na hawana haja ya kuongea lugha ya kwao.

It is hard to tell whether the glass is half full or half empty, but most often the thirsty beast will always see the glass as half empty while the sated one will see it as half empty.

It is true that probably among the Chaggas there is a bunch of tribalist neanderthals whose advancement was retarded by any number of ill educated rituals and a misplaced passion to excel, this is true of any tribe - and I am not only talking about African tribes- but can one really point a statistical anomaly in the sense of an unusual degree towards this tendency on the part of the Chaggas?

That would be an interesting social science thesis.

Once again we must remind ourselves of our forgotten M.O, especially when it comes to such divisive and innuendo driven unsubstantiated issues as this, no research, no right to speak.
 
Mada ya ukabila itaelimisha watu zaidi kama kuna mjuzi wa tamaduni na siasa za kenya, congo, Rwanda, Burundi na alishawahi kuishi huko akadadavua kinachotokea huko, ili wabongo wajue kwamba wao wako peponi lakini wa hawajui tu! Sababu sana ya kulinganisha ni bora na inakubalika zaidi kuliko hisia za mtu au kikundi cha watu.

Wabongo wengi pia hawajui hatari wanayotaka kujiletea wenyewe kutokana na choko choko za kikabila, siasa na udini zinazoendelea sasa. Binafsi nimepita kwenye baadhi ya nchi hizi na nasema Bongo bado ni peponi hata kama kuna makundi ya mlengo wa kushoto yanajitokeza sasa. We are better off than the rest na wenyewe wanatamani.
 
Tribal conflicts can be the bloodiest and cruelest conflicts that turn people into fanatics.
 
so basically unataka tuwajadili wachagga.. na siyo kabila jingine.. why don't we just jadili "Ukabila" na badala yake wachagga? Miye nimetoa posa Uchaggani so najitoa kwenye mjadala na mtu yeyote aliyoa, kuchumbia, au mwenye damu ya kichagga should the same.. na mtu yeyote aliye na rafiki mchagga pia.. well anybody who knows a mchagga should recuse him/herself..

Nakuunga Mkono Baba, na mimi nimetoa posa huko sasa sidhani kama itakuwa busara kuchangia chochote hapa. Ila ninavyojua anayeongelea suala la Ukabila lazima na yeye ni Mkabila.
 
Ingesaidia kuboresha mjadala kama ungetaja hayo mambo au vitu unavyosema Mkuu ili ionekane kweli kuwa huna chuki binafsi dhidi ya hao watu.Vinginevyo ni wazi kabisa kuwa huna hoja dhidi yao.

WOS,
mojawapo ya maeneo ambayo hawa chagaz wanpendeleana ni kwenye ajira.
nitakupa mifano michache tu,kama kuna mwingine mwenye ushahidi ataweka hapa, kama kuna asiyeamini,afuatilie kunakohusika ili ajiridhishe.
Nenda Barclays bank na Swissport (T) ltd.Hayo ni maeneo mawili ambayo nimefuatilia na kujiridhisha kuwa bila kuwa chagaz au kujuana na chagaz wa hapo hulambi ajira.moja katika hizo mbili, moja waliwahi kutangaza nafasi za kazi ya mhandisi(engineer).nakumbuka tuliofanyiwa usaili tulikuwa 12,nafasi za kazi zilikuwa 3.Baada ya usaili watu watatu tukalamba ajira.nilipoanza kazi, kila ninayeongea naye anataka kujua mimi ni mchaga wa wapi.hiyo ilinishangaza sana.lakini hiyo ilikuwa tisa, kumi ni hivi: baadae nilikuja kubaini kuwa wale wenzangu wawili tuliopata nao kazi ni mafundi mchundo(FTCs).nikajiuliza kulikoni??wahandisi wengi hata niliosoma nao wamekosa kazi halafu wameajiriwa mafundi mchundo???baadae nikaja kubaini kuwa wale wenzangu watatu wote walikuwa chagaz na walipata upendeleo kwa kuwa kwenye panel ya usaili, ya watu sita, watano walikuwa chagaz.
na kwa uzoefu nilioupata hapo, ndio maana nasema chagaz wana safari ndefu sana ya kujirekebisha na huo ukabila wanaoendekeza.
 
WOS,
mojawapo ya maeneo ambayo hawa chagaz wanpendeleana ni kwenye ajira.
nitakupa mifano michache tu,kama kuna mwingine mwenye ushahidi ataweka hapa, kama kuna asiyeamini,afuatilie kunakohusika ili ajiridhishe.
Nenda Barclays bank na Swissport (T) ltd.Hayo ni maeneo mawili ambayo nimefuatilia na kujiridhisha kuwa bila kuwa chagaz au kujuana na chagaz wa hapo hulambi ajira.moja katika hizo mbili, moja waliwahi kutangaza nafasi za kazi ya mhandisi(engineer).nakumbuka tuliofanyiwa usaili tulikuwa 12,nafasi za kazi zilikuwa 3.Baada ya usaili watu watatu tukalamba ajira.nilipoanza kazi, kila ninayeongea naye anataka kujua mimi ni mchaga wa wapi.hiyo ilinishangaza sana.lakini hiyo ilikuwa tisa, kumi ni hivi: baadae nilikuja kubaini kuwa wale wenzangu wawili tuliopata nao kazi ni mafundi mchundo(FTCs).nikajiuliza kulikoni??wahandisi wengi hata niliosoma nao wamekosa kazi halafu wameajiriwa mafundi mchundo???baadae nikaja kubaini kuwa wale wenzangu watatu wote walikuwa chagaz na walipata upendeleo kwa kuwa kwenye panel ya usaili, ya watu sita, watano walikuwa chagaz.
na kwa uzoefu nilioupata hapo, ndio maana nasema chagaz wana safari ndefu sana ya kujirekebisha na huo ukabila wanaoendekeza.

Assuming your information is accurate,

Kwa sababu Wachagga fulani wako wengi sehemu A, wanapendeleana, hiyo inaonyesha kwamba wachagga ni wakabila? Kuna any "causal link" pale kwamba wingi huu kumetokana na ukabila wa "wachagga"?

Na vipi ukienda sehemu ukamkuta bosi mchagga halafu kampuni nzima haina mchaga hata mmoja, je hiyo reasoning ya hapo juu itafutika? kama ukikubali ku conclude kwamba kwa kuona sehemu yenye Wachagga wengi, hususan kwenye mabosi wachagga, wachagga wanapendeleana na wana ukabila, utaweza kukubali kutumia logic ya kuona sehemu yenye bosi mchagga lakini hakuna mfanyakazi mchagga kuwafanya wachagga hawana ukabila?

Unawezaje kutoa conclusions za kabila zima kwa kutumia kikundi cha watu wachache? kwa msingi huo kila mtanzania ni mkabila, kwa maana miongoni mwetu tuna wakabila katika kila kabila.

Unaweza kutoa sample space kubwa ya kuweza kushawishi watu kwamba maoni yako yana msingi wa kisayansi? Au ni mambo ya kuotea otea tu na kwa sababu watu wana umoja na maendeleo, na wanaenzi "tribal camaraderie" yao, basi wana ukabila?
 
WOS,
mojawapo ya maeneo ambayo hawa chagaz wanpendeleana ni kwenye ajira.
nitakupa mifano michache tu,kama kuna mwingine mwenye ushahidi ataweka hapa, kama kuna asiyeamini,afuatilie kunakohusika ili ajiridhishe.
Nenda Barclays bank na Swissport (T) ltd.Hayo ni maeneo mawili ambayo nimefuatilia na kujiridhisha kuwa bila kuwa chagaz au kujuana na chagaz wa hapo hulambi ajira.moja katika hizo mbili, moja waliwahi kutangaza nafasi za kazi ya mhandisi(engineer).nakumbuka tuliofanyiwa usaili tulikuwa 12,nafasi za kazi zilikuwa 3.Baada ya usaili watu watatu tukalamba ajira.nilipoanza kazi, kila ninayeongea naye anataka kujua mimi ni mchaga wa wapi.hiyo ilinishangaza sana.lakini hiyo ilikuwa tisa, kumi ni hivi: baadae nilikuja kubaini kuwa wale wenzangu wawili tuliopata nao kazi ni mafundi mchundo(FTCs).nikajiuliza kulikoni??wahandisi wengi hata niliosoma nao wamekosa kazi halafu wameajiriwa mafundi mchundo???baadae nikaja kubaini kuwa wale wenzangu watatu wote walikuwa chagaz na walipata upendeleo kwa kuwa kwenye panel ya usaili, ya watu sita, watano walikuwa chagaz.
na kwa uzoefu nilioupata hapo, ndio maana nasema chagaz wana safari ndefu sana ya kujirekebisha na huo ukabila wanaoendekeza.


Pole!
so its all about u?
How objective is your assessment? nani anajua kama kweli usemacho ni kweli na si mambo ya mkosaji?
 
Mkuu heshima mbele

naona now tunaelekea maana tunaanza kuujadili huoja UKABILA NI NINI na ni KIPIMO gani tutumie tuseme huo ni ukabila.

Mimi ni mchaga sitopenda kutake side nitamoderate tu hii topic[/QUOTE]

Katika kuchangia, my observation kufuatia ulichosema hapo juu na pia alichosema MKJJ, ni kuwa hata humu JF basi kuna wachagga wengi na pia wanachama wengi tu wenye affiliation nao.
Je huu ni ukabila pia?
Nani aliwaingiza humu JF?
Makabila mengine yalizuiliwa na nani kujiunga kwa wingi ?

Tutafuta mchawi na kujenga hoja zisizo na tija kisa chuki dhidi ya kabila la wachagga.Katika mchakato mzima wanazidi kupata umaarufu tu, na hata kama kuna chuki binafsi dhidi yao haziwanyimi usingizi wala hazitawazuia jitihada zao kutafuta maisha popote.Riziki ni popote wakizuiliwa upande mmoja wataenda upande mwingine maana kwanza hawachagui kazi wala shughuli mradi inawaingizia kipato.Na hiki ndicho kinachowashinda wengine.Someni mchango wa Kithuku kwa makini.

Hapa umenena....wachaga ni watafutaji Period, hawakai vibarazani nakujiambia riziki yapangwa na Mungu; la hasha riziki yaja kama waitafuta and not otherwise.
Huu uzushi wa wachaga ni wakabila, wachaga this and that will never end as long as they're people who are looking for excuses for their own mess. Watu watasema sana na vikao wataweka ila mchaga ataendelea kuwa mchakarikaji mpaka kieleweke. Inasikitisha sana pale mtu anapojaribu kumvuta shati mtu anayekimbia ili amsubiri badala ya kukimbizana naye!
Kusingizia ukabila hakutatusaidia kitu Tanzania, hatuhitaji kufika walipofikia Kenya ila pia hakuna mtu ataye-slow down eti kwa ajili wengine watasema kuna ukabila, hey..if you have time read at the bottom of my page I love the quote because it tells it all. " We all have 24 hours.........
Cheers and you all have a brilliant weekend.
 
Back
Top Bottom