watu wengi huwa wanapenda kusema na kuona kwamba ni wsichana/wanawake pekee ndio wenye wapenzi zaidi ya mmoja,na sio kufikilia na wavulana pia wanao wapenzi zaidi ya mmoja.ni kwa nini kwa wasichana/wanawake tu?wavulana je?
<br />Kwa sababu nyie wenyewe mnasema...........
si mupenzi?huna hata mmoja nani?
tunasema nini?
<br />watu wengi huwa wanapenda kusema na kuona kwamba ni wsichana/wanawake pekee ndio wenye wapenzi zaidi ya mmoja,na sio kufikilia na wavulana pia wanao wapenzi zaidi ya mmoja.ni kwa nini kwa wasichana/wanawake tu?wavulana je?
Tangaza kuwa umeachana na mimi!!!!!!!!!mimi sina hata mmoja wewe je?
Njoo kwangu mamsapu wangu Beibeeeeeeeeeeeee(baby)mimi sina hata mmoja wewe je?
Kuwa mnao mabwana zaidi ya mmoja, kuna wa usafiri, kuna wa Vocha, kuna wa kodi ya Pango..... yaani inategemea na mahitaji yenu... uongo?
Kama mungu mwenyewe ni mwanaume mnategemea nini?
acha urongo na umbea
nan kakwambia mungu mwanaume?
watu wengi huwa wanapenda kusema na kuona kwamba ni wsichana/wanawake pekee ndio wenye wapenzi zaidi ya mmoja,na sio kufikilia na wavulana pia wanao wapenzi zaidi ya mmoja.ni kwa nini kwa wasichana/wanawake tu?wavulana je?
kuna mtu alishasema kwamba~ "kufuli moja likifunguliwa na funguo nyingi basi hilo halifai ni kimeo, ila funguo mmoja ukifungua kufuli nyingi basi huo unaitwa master key" nadhani hii itakupa jibu sahihi..