Wanawake mabosi walio wengi wamekimbiwa na waume zao na kuwaachia kila kitu, na wengine hawajaolewa kabisa na kama wakiolewa basi wao wanakuwa wameoa, Ndoa zao nyingi zinakuwa na migogoro sana.
Hata wale ambao hawajaolewa baadhi ya wanaume wanawaogopa, Siyo wote kwani kuna wengine wanamudu kuzitunza ndoa zao kikamilifu.
Wadau nini tatizo?
Hata wale ambao hawajaolewa baadhi ya wanaume wanawaogopa, Siyo wote kwani kuna wengine wanamudu kuzitunza ndoa zao kikamilifu.
Wadau nini tatizo?