Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Dr Emmanuel Nchimbi ndivyo anavyoitwa. Kumbukumbu zangu hazionyeshi kuwa huyu jamaa aliyosoma degree inayomfanya awe addressed kama Dr kwa Bachelor (mfano Medical, Vet).
Kwa sasa huyu jamaa ndio anafanya PhD Mzumbe, alipojiregister 2009. Ina maana anasoma PhD ya pili au... and for what?!!
Kwa sasa huyu jamaa ndio anafanya PhD Mzumbe, alipojiregister 2009. Ina maana anasoma PhD ya pili au... and for what?!!