Kwa nini Nchimbi anajiita 'Dr' wakati ndio anasoma PhD sasa hivi?

Tuko

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
11,178
7,319
Dr Emmanuel Nchimbi ndivyo anavyoitwa. Kumbukumbu zangu hazionyeshi kuwa huyu jamaa aliyosoma degree inayomfanya awe addressed kama Dr kwa Bachelor (mfano Medical, Vet).
Kwa sasa huyu jamaa ndio anafanya PhD Mzumbe, alipojiregister 2009. Ina maana anasoma PhD ya pili au... and for what?!!
 
Huwezi tofautisha na wale wa Sumbawanga, Nigeria Tanga, Kigoma nk nk! Wanajipachika tu.
 
Dr Emmanuel Nchimbi ndivyo anavyoitwa. Kumbukumbu zangu hazionyeshi kuwa huyu jamaa aliyosoma degree inayomfanya awe addressed kama Dr kwa Bachelor (mfano Medical, Vet).
Kwa sasa huyu jamaa ndio anafanya PhD Mzumbe, alipojiregister 2009. Ina maana anasoma PhD ya pili au... and for what?!!

hata babu wa Loliondo naye ni Dokta.
 
Umesahau nini huyu NCHIMBI si ndio wale ma DR wakuchakachua aliowarusha MSEMAKWELI wakajifanya watamshtaki wakapotea. Hivyo kufuta jina la u DR ni aibu ndio maana anasoma ili akipata iwe juu kwa juu.
 
Nilianza kusikia Nchimbi akiitwa Dr.tangia akiwa Mwenyekiti wa Taifa wa Umoja wa Vijana wa CCM then Mkuu wa Wilaya ya Bunda.Siku zile wakati mambo ya mtandao hayakuwa maarufu sana kwa mtu kupata upande wa pili wa shilingi,nilikuwa namuona jamaa ni kama ka genius flani hivi na alini inspire sana,manake niliamini alikuwa ni PhD holder katika umri mdogo..Kumbe dah!
 
Wakuu sijui kama kuna utaratibu wa kuwa na double PhD. Sasa uyu jamaa hashtakiki kweli?ametudanganya akapewa vyeo kibao serikalini na leo ndo anaanza shule. Jaman Tanzania kungekuwa na serikali makini,wafungwa wangekuwa wengi na hapa ofisi za serikali zinazosafishwa na wafungwa zingeng'ara. Msemakweli yu wapi?alishapozwa nini?kwa nini asihishikie bango kama alama ya ushindi wake dhidi ya mafisadi wa elimu. I call upon Kinerugaba Msemakweli to act,haiwezekani sisi tuzeekee Library wakati wengine wanajipachika tu! Na mzumbe jiangalie,mmeshasemwa sana kwa kuficha uozo mara kamara,mara huyu,dah!
 
Alaf Mzumbe ina historia ya kuwa na wachakachuaji. DVC wa chuo aliwahi kugundulika ana phd ya kununua, akashikiliwa bango, akaachia cheo akaenda shule. Alaf Kamala nae alikugundulika, nae anasoma phd sasa. Kuna umuhimu hiki chuo kikachunguzwa.
 
Dr Emmanuel Nchimbi ndivyo anavyoitwa. Kumbukumbu zangu hazionyeshi kuwa huyu jamaa aliyosoma degree inayomfanya awe addressed kama Dr kwa Bachelor (mfano Medical, Vet).
Kwa sasa huyu jamaa ndio anafanya PhD Mzumbe, alipojiregister 2009. Ina maana anasoma PhD ya pili au... and for what?!!

Umemsahau DR AISHA KIGODA:ballchain:
 
Ccm wako kibao .sio ajabu hata kidogo maana wao ndio waanzilishi wa chakachua. wizi wizi hadi nyumbani waiba vijiko na sahani kama mateja . LOh
 
Waziri wa ulinzi wa ujerumani amejiuzuru kwa kuchakachua PhD za wengine na kuunda ya kwake. Hybrid. Alipogundulika akasema halina uhusiano na kazi yake ya u-waziri lakini akajiuzuru kwa kuamini kwamba hataweza kuaminika tena.

Hapa kwetu ndo kabisa! Rais aliyemteua anazidisha uaminifu kwa watu kama hawa. Rais wetu hata siku moja haoni tatizo labda umutukane, ndo atajenga kisasi cha maisha.

Watu wa aina hii bado anao wengi saaaana! Wengine kawapa madaraka makubwa.

Mkosi tulionao ni kizazi cha viongozi hawa. Kweli viongozi hawa akina Nchimbi wanaona umuhimu wa kusomesha watoto wao ili wapate vyeti halali wakati wao wana vyeti vya bandia na vinakubaliwa?
 
Wakuu sijui kama kuna utaratibu wa kuwa na double PhD. Sasa uyu jamaa hashtakiki kweli?ametudanganya akapewa vyeo kibao serikalini na leo ndo anaanza shule. Jaman Tanzania kungekuwa na serikali makini,wafungwa wangekuwa wengi na hapa ofisi za serikali zinazosafishwa na wafungwa zingeng'ara. Msemakweli yu wapi?alishapozwa nini?kwa nini asihishikie bango kama alama ya ushindi wake dhidi ya mafisadi wa elimu. I call upon Kinerugaba Msemakweli to act,haiwezekani sisi tuzeekee Library wakati wengine wanajipachika tu! Na mzumbe jiangalie,mmeshasemwa sana kwa kuficha uozo mara kamara,mara huyu,dah!

You can have as many as you would like as long as you defend them in front of a panel.There are people in this world with more than 2 PhDs.Maybe he is going for number two.I think there is no point of discussing this because for whatever reasons,yeye mwenyewe ndio anayejua ukweli.Kwanza PhD ni personal issue na kuwa kiongozi hakujalishi kama wewe ni PhD au diploma holder.
 
dr emmanuel nchimbi ndivyo anavyoitwa. Kumbukumbu zangu hazionyeshi kuwa huyu jamaa aliyosoma degree inayomfanya awe addressed kama dr kwa bachelor (mfano medical, vet).
Kwa sasa huyu jamaa ndio anafanya phd mzumbe, alipojiregister 2009. Ina maana anasoma phd ya pili au... And for what?!!


Alipewa U-dokta UDOM, kama Dr J.K
 
You can have as many as you would like as long as you defend them in front of a panel.There are people in this world with more than 2 PhDs.Maybe he is going for number two.I think there is no point of discussing this because for whatever reasons,yeye mwenyewe ndio anayejua ukweli.Kwanza PhD ni personal issue na kuwa kiongozi hakujalishi kama wewe ni PhD au diploma holder.

Tatizo siyo kwamba ili uwe kiongozi mzuri unahitaji kuwa na PhD.Tatizo ni kujifanya una PhD na kujiita Dr.wakati PhD yenyewe ni ya mazabe
 
You can have as many as you would like as long as you defend them in front of a panel.There are people in this world with more than 2 PhDs.Maybe he is going for number two.I think there is no point of discussing this because for whatever reasons,yeye mwenyewe ndio anayejua ukweli.Kwanza PhD ni personal issue na kuwa kiongozi hakujalishi kama wewe ni PhD au diploma holder.

CHEATING THAT YOU HAVE A Ph D WHILE YOU DONT ONE HAVE IS AN OFFENSE. THE REASON IS SIMPLY THAT YOU WILL ATTEMPT PROVIDING ASSISTANCE WHILE DETRIMENTAL. THIS IS A REASON WHY YOU HAVE FAKE DOCTORS BUSY KILLING PEOPLE, FAKE ENGINEERS HANDLING EXPLOSIVES AND KILL US, FAKE ECONOMISTS SELLINGS US CHEAPLY, FAKE POLICE KILLING US....FAKE TEACHERS PRODUCING MAJORITY OF DIVISION IV AN 0 .....FAKE ARCHITECTURES FALLING BUILDINGS....FAKE PRESIDENT WITH GPAS OF 2.6....ETC ETC THIS IS ONLY ACCEPTED IN TANZANIA NCHI YA MAPUMBAVU KAMA WEWE HOUSTA.
 
GENERAL
Salutation
Honourable
Member picture
First Name:
Dr. Emmanuel
Middle Name:
John
Last Name:
Nchimbi
Member Type:
Constituency Member
Constituent:
Songea Mjini
Political Party:
CCM
Office Location:
P.O.Box 1422, Dar es Salaam
Office Phone:
+255 754 003388
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth


EDUCATIONS
School Name/Location
Course/Degree/Award
Start Date
End Date
Level
CommonWealth Open University
PhD (Management)
2001
2003
PHD
CommonWealth Open University
MSc. (Management)
1999
2001
MASTERS DEGREE
Mzumbe University
MBA (Finance & Banking)
2001
2003
MASTERS DEGREE
Institute of Development Management - Mzumbe
Advanced Diploma in Administration
1994
1997
ADV DIPLOMA
Forest Hill Secondary School
A-Level Education
1991
1993
HIGH SCHOOL
Sangu Secondary School
Secondary Education
1989
1990
SECONDARY
Uru Seminary
Secondary Education
1987
1989
SECONDARY
Oysterbay Primary School
Primary Education
1980
1986
PRIMARY


CERTIFICATIONS

 
Back
Top Bottom