Nimemkumbuka Dr Idrissa baada ya mgao huu mkali wa umeme.
Kufuatia rekodi yake nzuri akiwa BOT na kwa mujibu wa watu waliofanya naye kazi TANESCO Dr Rashidi ninaamini aangepewa mamlaka ya kutosha na rasilimali angeweza kuligeuza shirika hili kufanya kazi kwa ufanisi na sina shaka tatizo la umeme linalotukabili sasa lisingekuwa kubwa kiasi hiki.
Binafsi namuona Dr Rashidi kama mtu mwenye vision na anayeweza kufanya maamuzi magumu na kuyasimamia.
Ni kwa nini Dr Rashidi aliondoka/aliondolewa TANESCO ilihali alikuwa mtu muafaka to turn around this Company?
Naomba kujua wadau!
Kufuatia rekodi yake nzuri akiwa BOT na kwa mujibu wa watu waliofanya naye kazi TANESCO Dr Rashidi ninaamini aangepewa mamlaka ya kutosha na rasilimali angeweza kuligeuza shirika hili kufanya kazi kwa ufanisi na sina shaka tatizo la umeme linalotukabili sasa lisingekuwa kubwa kiasi hiki.
Binafsi namuona Dr Rashidi kama mtu mwenye vision na anayeweza kufanya maamuzi magumu na kuyasimamia.
Ni kwa nini Dr Rashidi aliondoka/aliondolewa TANESCO ilihali alikuwa mtu muafaka to turn around this Company?
Naomba kujua wadau!