Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,329
- 6,447
Msafara wa Jk siku hizi una kuwa na gari la wagonjwa. Kama Bajaj alizoleta kwa ajili ya akina mama wajawazito zinafaa sana, kwa nini asitumie moja kwenye misafara yake badala ya ambulance ya knight support na kuteketeza kodi yangu hivi hivi? Hivi na Nuclear scientist anakuwa na ambulance kwenye masafara wake?