kwa nini msafara wa chadema kwenda Ikulu haukuwa na mwakilishi mwanamke

Kila wakati katika historia mwanamke alionesha uwezo wake vizuri pale alipotumika kama mshiki bapa. Wapo walioshirika lakini hawakuwa washiriki wakuu. Hivi leo macho yakisema hayataki kuwa pua na masikio vivyo hivyo kutakuwa na uelewano? Mimi naamini ni uelewano ndiyo unaojenga nchi na si uwakilishi. Ikitokea wanaokwenda ni wanawake watupu, kama wanaelewana na kama chimbuko la kile wanachokifanya ni upendo kwa wananchi basi wao humwakilisha Mungu. Na wakitembea pamoja na Mungu kila jambo huleta matunda na matunda hayo hudumu.
 
Binafsi sioni tatizo kwenye hilo...... Kwangu hakuna ubaguzi mkubwa kama kuwaza umwanaume na umwanamke. Unapowaza kwamba CHADEMA walienda Ikulu kuonana na raisi unakuwa Objective. Ukishawaza wanaume wa chadema walienda ikulu kuonana na raisi ni dalili za kuanza kuwa subjective. na huo ndo ubaguzi

Hilo suala la kitaifa ambalo lilihitaji uwakilishi wa pande zote ndio siasa yenyewe,sasa kama yanaenda madume peke yao,inaleta shaka kidogo kama kweli cdm inawajali kina mama.
 
Kwa sisi akina mama porojo, tuli-mind sana siku tulipoona hakuna mwanamke hata mmoja katika safari ya chadema kwenda kuonana na Rais kikwete Ikulu. Dunia inapita katika kipindi cha kupunguza nguvu ya mfumo dume na kuwapa fursa akina mama. sitaki kuamini kwamba chadema walishindwa kumchomeka japo mama mmoja tu (mwenye weredi kichwani) kuongozana na akina baba wale. Hakina niliumia sana.

Upande wa CCM katika mazungumzo hayo japo kwa picha za Ikulu katika vyombo vya habari niliwaona Celini Kombani, Tatu Nuru na Prem Kibanga.

jiunge rasmi na cdm ulete mabadiliko unayotaka kwa kuongeza nguvu na kukijenga chama hadi upate nafasi za juu za chama then utapata fursa ya kutalii kule mjengoni.usiwe tu mlalamishi kwani walioenda kule c kwa kutalii ila vichwa vyao vina mambo mazito na yenye uendelevu.ahsante karibu cdm
 
kwani lazima kuwepo mwanamke? Hii nchi imedorora kutokana na wanawake wengi kupewa madaraka,.an average man is 100 times better than an average woman

sio mradi tu mwanamke kwenda Ikulu hapo tunazungumzia wanawake waliothibitisha uwezo usio na shaka labda kama unasema chadema hawana mwanamke wa namna hiyo jambo ambalo sio kweli
 
jiunge rasmi na cdm ulete mabadiliko unayotaka kwa kuongeza nguvu na kukijenga chama hadi upate nafasi za juu za chama then utapata fursa ya kutalii kule mjengoni.usiwe tu mlalamishi kwani walioenda kule c kwa kutalii ila vichwa vyao vina mambo mazito na yenye uendelevu.ahsante karibu cdm

point. Off duty
 
mawazo ya kichwa nazi na kazi za kichwa nazi ni porojo na porojo zinaongelewa sokoni.

Hata wewe mwanamke mwenzangu unanitukana ama kweli dunia imekwisha. Haki zetu zitaendelea kuporwa na wanaume hadi mwisho wa dunia.
 
Nilimuuliza suala linalofanana na hlo Kitila mkumbo lakin akaingia mtini.

Nilimuuliza Je utaratibu au vigezo gani mlivyotumia kupata wawakilishi wenu Bungeni kwa viti maalum kwa wanawake? nikampa mifano ya watu na nadugu na wake zao Bungeni viti maalum.

kazi ipo Chadema.
 
hata wewe mwanamke mwenzangu unanitukana ama kweli dunia imekwisha. Haki zetu zitaendelea kuporwa na wanaume hadi mwisho wa dunia.
si kila jambo wanatakiwa wanawake wawepo, na si kila jambo lazima wanaume wawepo, kutokwenda ikulu na mwanamke hakumaanishi ni kuwanyima wanawake haki.
 
Nasema na nitasema tena na tena na tena......Ujinsia huu utafikia kipindi utakuwa ni sawa na ubaguzi kama wa kidini,ukabila nk...Jadili mambo ya msingi bana.Kikao kijacho mama polojo utawawakilisha akina mama.
 
Haya mambo ya kujifanya tunabalance genda ndio yanapelekea hadi akina Sophia Simba eti nao ni mawaziri, khaaaaaaaaaaaaa
 
Kwa sisi akina mama porojo, tuli-mind sana siku tulipoona hakuna mwanamke hata mmoja katika safari ya chadema kwenda kuonana na Rais kikwete Ikulu. Dunia inapita katika kipindi cha kupunguza nguvu ya mfumo dume na kuwapa fursa akina mama. sitaki kuamini kwamba chadema walishindwa kumchomeka japo mama mmoja tu (mwenye weredi kichwani) kuongozana na akina baba wale. Hakina niliumia sana.

Upande wa CCM katika mazungumzo hayo japo kwa picha za Ikulu katika vyombo vya habari niliwaona Celini Kombani, Tatu Nuru na Prem Kibanga.

weka na uwiano wa kidini pia,waislamu wangapi,na wakristo wangapi,.
Na katika waristo hao,wanaume wangapi na wanawake wangapi... Halafu uje kwa waislamu waliokwenda nao,wanawake walikuwa wangapi na wanaume nao wangapi...
Na najua haikuwa CDM pekee waliokwenda kuonana na Rais,kuna na NCCR pia... Na hao CCM wenyewe.. Weka haya sawa kwanza kisha mjadala uendelee..
 
Back
Top Bottom