Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 679
Ki ukweli nimeshindwa coz kama umakini nimejalibu kuwa makini zaidi ya umakini wenyewe nimezuia update automatic zote kwenye ma laptop,nilinunua bandle ya 1gb nimekaa nayo siku kumi tu tena nasoma email tu kudownload sijawahi kbs!baada ya kuisha nikiweka vocha ya buku mbili inakaa nusu saa tu imekata!hebu niambieni wadau au pengine hiki kimoderm ndo kinamatatizo au inakuwaje????