Kwa nini mkeo akuibie pesa??

Mrejesho: baada ya jana kufanya utafiti na upelelezi wa kufa mtu kama wa Kova, iligundulika wala mke na watoto hawakuiba pesa hizo kwa jana maana baba yao hajawakosea kipindi kirefu. Aliibiwa huko malishoni alikokuwa.

Ila mke alikiri pale kuwa wao humwibia pesa pale anapokuwa na shida au akimcheat na barmaid wa bar ya jirani.

Basi yaliisha hivyo hivyo na mme wala hakuomba cha msamaha ila pesa zake kazipata God knows where.

Basi familia bado iko pamoja.
 
Mrejesho: baada ya jana kufanya utafiti na upelelezi wa kufa mtu kama wa Kova, iligundulika wala mke na watoto hawakuiba pesa hizo kwa jana maana baba yao hajawakosea kipindi kirefu. Aliibiwa huko malishoni alikokuwa.

Ila mke alikiri pale kuwa wao humwibia pesa pale anapokuwa na shida au akimcheat na barmaid wa bar ya jirani.

Basi yaliisha hivyo hivyo na mme wala hakuomba cha msamaha ila pesa zake kazipata God knows where.

Basi familia bado iko pamoja.


Kumbe ilikuwa ni tamthilia...... Kongosho katuingiza chaka dah.......ukileta part II usidai kiingilio
 
Last edited by a moderator:
jamani kwa wanamme mlooa

inakuwaje mkeo hadi akuibie pesa? Tena kwa kushirikiana na watoto wake mwenyewe?

Mie nadhani hapa kuna tatizo kubwa zaidi ya pesa. Hapa baba anaonekana kama 'intruder' nyumbani kwake mwenyewe.

Mke aliyemuoa hana tabia ya wizi wala udokozi leo kageukaje mwizi? Au kweli wababa wanapenda kusaidiwa kutunza mke?

Mme ana pesa kama nini anahonga tu afu mke hata hela ya mafuta ya kujipaka hadi auze ubuyu? Why?

Eti mie ndio naambiwa nisuluhishe, nisuluhisheje jamani hii familia?

Nataka niwaambie wakae wa-review kama wana haja ya kuendelea kuishi pamoja vinginevyo bora kila mtu akamate njia yake.

Hizi ni tabia za shemeji zangu wa mkoa wa Kaskazini.....wachagga
 
Kumbe walimmalima!!!!!!!
Shame on him.......

Mwambie mwanaume hasifiwi sura.....
Mwanaume wa ukweli anasifiwa jinsi anavyoitunza na kuijali familia yake.....


Mrejesho: baada ya jana kufanya utafiti na upelelezi wa kufa mtu kama wa Kova, iligundulika wala mke na watoto hawakuiba pesa hizo kwa jana maana baba yao hajawakosea kipindi kirefu. Aliibiwa huko malishoni alikokuwa.

Ila mke alikiri pale kuwa wao humwibia pesa pale anapokuwa na shida au akimcheat na barmaid wa bar ya jirani.

Basi yaliisha hivyo hivyo na mme wala hakuomba cha msamaha ila pesa zake kazipata God knows where.

Basi familia bado iko pamoja.
 
jamani kwa wanamme mlooa

inakuwaje mkeo hadi akuibie pesa? Tena kwa kushirikiana na watoto wake mwenyewe?

Mie nadhani hapa kuna tatizo kubwa zaidi ya pesa. Hapa baba anaonekana kama 'intruder' nyumbani kwake mwenyewe.

Mke aliyemuoa hana tabia ya wizi wala udokozi leo kageukaje mwizi? Au kweli wababa wanapenda kusaidiwa kutunza mke?

Mme ana pesa kama nini anahonga tu afu mke hata hela ya mafuta ya kujipaka hadi auze ubuyu? Why?

Eti mie ndio naambiwa nisuluhishe, nisuluhisheje jamani hii familia?

Nataka niwaambie wakae wa-review kama wana haja ya kuendelea kuishi pamoja vinginevyo bora kila mtu akamate njia yake.

Kama anapata kila kitu na bado anaiba je? Mie nadhani huyo mwanamke ni mwizi tu. Ndo tabia yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom