Bwana Issa Michuzi alitoa maelezo marefu kuwa yeye hafungamani na upande wowote ingawa asilimia kubwa tunamjua ni kibaraka wa CCM ,informer fulani wa usalama .
Sasa hivi iko dhahiri kuwa anapigia debe CCM Kupitia blog yake ,Kuna CD ya JK 2010 anatangaza kwenye blog yake anauza na pia kama unataka kuwekewa milio ya simu ya JK ati usasiliane naye.
Kama mtu yeyote yule ana uhuru wa kuwa na chama chochote ni haki yake ila kwa nii aligoma at the first place na kuandika waraka mrefu kukanusha na kung'aka.
Ambao mlikuwa mnashangaa kwa nini taarifa za Chadema na mikutano yao inachelewa kuwekwa au haiwekwi kabisa hope jibu ndio hilo,huyo bwana ni kada wa CCM A.K.A mafisadi .Kwa hiyo ana sababu zote za kuwa baised ,habari za CCM hata ki halfa kidogo ,kura za maoni faster anaweka,ukiuliza chadema au vyama vingine unambiwa hii blog yeyote anaruhusiwa ku post alaaa ndio iko hivyo!!
Sasa hivi iko dhahiri kuwa anapigia debe CCM Kupitia blog yake ,Kuna CD ya JK 2010 anatangaza kwenye blog yake anauza na pia kama unataka kuwekewa milio ya simu ya JK ati usasiliane naye.
Kama mtu yeyote yule ana uhuru wa kuwa na chama chochote ni haki yake ila kwa nii aligoma at the first place na kuandika waraka mrefu kukanusha na kung'aka.
Ambao mlikuwa mnashangaa kwa nini taarifa za Chadema na mikutano yao inachelewa kuwekwa au haiwekwi kabisa hope jibu ndio hilo,huyo bwana ni kada wa CCM A.K.A mafisadi .Kwa hiyo ana sababu zote za kuwa baised ,habari za CCM hata ki halfa kidogo ,kura za maoni faster anaweka,ukiuliza chadema au vyama vingine unambiwa hii blog yeyote anaruhusiwa ku post alaaa ndio iko hivyo!!