Kwa nini mbunge wangu haukai huku jimboni kwako?

Oti Kate

Member
Dec 20, 2011
58
59
Wana JF,

Nasikitika sana pale ninapomuona mh. Mtutura, mbunge wangu wa jimbo la Tunduru Kusini haishi huku na wala haji tena siku hizi huwa najisikia vibaya sana. Wakati wa kampeni mwaka juzi, huyu jamaa alitusumbua sana hapa mtaani kwetu, mpilipili road.

Alikuwa akija mara kwa mara na kujinadi kuwa yeye ndiye suluhisho letu la matatizo yanayotukabili, cha ajabu sasa tangu ashinde ubunge, alikuja mara moja tu wakati wa msiba wa ndugu yake lakini ciku nyingine zote yuko kule Mbagala ambako ndio ana nyumba yake.

Mh. naomba uje huku kwa sisi wapiga kura wako, kumbuka uliyotuahidi..................yaani imefika wakati namkumbuka mbunge wetu wa zamani marehemu Akukweti licha naye alikuwa na mabaya yake.

Vipi nyie wenzangu wa vijijini, wabunge wenu ni kama huyu?
 
Kwani kabla ya kuwa Mbunge alikuwa anakaa wapi?

Wana JF,

Nasikitika sana pale ninapomuona mh. Mtutura, mbunge wangu wa jimbo la Tunduru Kusini haishi huku na wala haji tena siku hizi huwa najisikia vibaya sana. Wakati wa kampeni mwaka juzi, huyu jamaa alitusumbua sana hapa mtaani kwetu, mpilipili road.

Alikuwa akija mara kwa mara na kujinadi kuwa yeye ndiye suluhisho letu la matatizo yanayotukabili, cha ajabu sasa tangu ashinde ubunge, alikuja mara moja tu wakati wa msiba wa ndugu yake lakini ciku nyingine zote yuko kule Mbagala ambako ndio ana nyumba yake.

Mh. naomba uje huku kwa sisi wapiga kura wako, kumbuka uliyotuahidi..................yaani imefika wakati namkumbuka mbunge wetu wa zamani marehemu Akukweti licha naye alikuwa na mabaya yake.

Vipi nyie wenzangu wa vijijini, wabunge wenu ni kama huyu?
 
Back
Top Bottom