FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
wakuu, hv kwa nini wanawake wengi huwa wanaona kama halali yao kuhongwa? s wote, lakini asilimia kubwa ya wanawake akiwa na mshkaji anaona matatizo yake yanaishia hapo...mara nataka vocha!, mara losheni!
mkitoka auti kulipa bill tu mziki!....si wasomi, si wa uswahilini!
eeeh hata biblia imeindikwa enyi waume watunzeni wake zenu na nyie wake wapendeni waume zenu ila siku hizi tunajitahidi sometimes mie namuomba mwenzangu tutoke na siku hiyo cost zote zinakuwa juu yangu tena nitahakikisha amepata ile kitu roho inapenda na kwa gharama yoyote ile .......
sio lazima kila siku nipewe hela ya saloon rotion ,chips ,thoda ,khanga za mombasa ,vitenge vya nigeria na mwenzangu