sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
Nimejaribu kupitia magazeti leo jumapili sioni hata moja lililocover story ya serengeti ikiwa serikali imenawa mikono kutokana na shinikizo la marekani...embu ona serikali ilijifanya kichwa ngumu...wakenya wakachombeza...barabara ikijengwa itaathiri migration ya nyumbu kwenda kenya....obama ni mkenya...marekani wakapigilia msumari wa mwisho jeneza la tanzania kudadadeki​