Nimekuwa nikionana wamama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watotot wao wa kiume bila sababu maalumu hii inasababishwa na nini.
Kuna kijana mmoja (true story0alilelewa kwenye kituo cha watoto yatima tangu mwaka 1978, amekuwa mkubwa akaamua kumtafuta mama yake, mama yake alimpeleka hapo kituoni akiwa na siku tatu baada ya kushidwa kumtunza sasa ametafuta kuulizia hapo kituoni sister aliyempokea miaka hiyo huyo sister amesharudi ulaya akamwelekeza mwanamke alivyo na alisema yeye ni wa wapi. kijana kamtafuta kampata, alivyompata akamtuma mchumba kwa sababu yeye alikuwa mgonjwa binti akaenda kufika akakuta mama ana hali mbaya sana hana hata kanga za kujifunga watoke. msichana kakimbia duka la jirani kaleta pea ya vitenge na kitambaa cha kichwa na viatu, alipofika mama kamwambia unaleta dharau nimekuomba uninunulie nguo unaniona mimi maskini. walipofika kwa mtoto wake akamwambia huyu ni nani aksema ni mchumba wangu akamwambia simtaki akaulizwa kwa nini akasema nimeamua simtaki na hapa kwako siondoki ndo nimeshafika, chagua mimi au yeye, kumbuka hajamuona tangu ana siku tatu. huyo mama ana mume na waotot watatu. nini kilisababisha ni kwamba ana roho mbaya ni tabia yake au? maana anadai waotot wake wengine wamemkimbia hawataki kumsaidia hata 500 hawampi
Kuna kijana mmoja (true story0alilelewa kwenye kituo cha watoto yatima tangu mwaka 1978, amekuwa mkubwa akaamua kumtafuta mama yake, mama yake alimpeleka hapo kituoni akiwa na siku tatu baada ya kushidwa kumtunza sasa ametafuta kuulizia hapo kituoni sister aliyempokea miaka hiyo huyo sister amesharudi ulaya akamwelekeza mwanamke alivyo na alisema yeye ni wa wapi. kijana kamtafuta kampata, alivyompata akamtuma mchumba kwa sababu yeye alikuwa mgonjwa binti akaenda kufika akakuta mama ana hali mbaya sana hana hata kanga za kujifunga watoke. msichana kakimbia duka la jirani kaleta pea ya vitenge na kitambaa cha kichwa na viatu, alipofika mama kamwambia unaleta dharau nimekuomba uninunulie nguo unaniona mimi maskini. walipofika kwa mtoto wake akamwambia huyu ni nani aksema ni mchumba wangu akamwambia simtaki akaulizwa kwa nini akasema nimeamua simtaki na hapa kwako siondoki ndo nimeshafika, chagua mimi au yeye, kumbuka hajamuona tangu ana siku tatu. huyo mama ana mume na waotot watatu. nini kilisababisha ni kwamba ana roho mbaya ni tabia yake au? maana anadai waotot wake wengine wamemkimbia hawataki kumsaidia hata 500 hawampi