rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
wakuu naombeni kama kuna mtu mwenye hizi taarifa,tunasikia viongozi wa dini walimfata na kumwambia aache kabisa tabia ya kusafiri hovyo hovyo kwani ni mzigo kwa taifa
tumefatilia sana hizi taarifa lakini nafikiri zilifanyika kwa siri sana,mwenye taarifa atutonye kidogo tunatengeneza biography ya huyu mweshimiwa kikwete!
tumefatilia sana hizi taarifa lakini nafikiri zilifanyika kwa siri sana,mwenye taarifa atutonye kidogo tunatengeneza biography ya huyu mweshimiwa kikwete!