It is Sur_Plus
Senior Member
- Sep 28, 2010
- 167
- 7
Jamani ivi ni kwanini Mh. Dr Dr Dr J.Kikwete haendi Mecca hukiji nae aitwe Alhad'j Dr Dr Dr Kikwete.
Mmmmmmm mmmmm Hili nalo neno.?????
Kwa midhambi aliyonayo kwenda hawezi hata kidogo maana wanaoenda kujisafisha kule angalau ni wasafi at least
Kwa midhambi aliyonayo kwenda hawezi hata kidogo maana wanaoenda kujisafisha kule angalau ni wasafi at least
Jamani ivi ni kwanini Mh. Dr Dr Dr J.Kikwete haendi Mecca hukiji nae aitwe Alhad'j Dr Dr Dr Kikwete.
imekuuma sana pole sana, hawezi kwenda huko afya mgogoro ataenda, halafu siyo msafi....Ataenda siku akipenda na nafsi yake ikipenda kufanya hivyo (very personal thing)
Besides ina kuhusu nini uhusiano wa mtu na Muumba wake?
Wewe umeshaenda?
imekuuma sana pole sana, hawezi kwenda huko afya mgogoro ataenda, halafu siyo msafi....
Nilisikia ukienda huko utakuwa unaitwa alhaji....ila mimi napendekeza Mecca ihamishiwe Marekani hapo nina uhakika atakuwa anaenda kila wiki....Lete ushahidi kuwa hajaenda kuhiji.
we jamaa umenichekesha ...ngoja nikapate 1 motoNilisikia ukienda huko utakuwa unaitwa alhaji....ila mimi napendekeza Mecca ihamishiwe Marekani hapo nina uhakika atakuwa anaenda kila wiki....
Nilisikia ukienda huko utakuwa unaitwa alhaji....ila mimi napendekeza Mecca ihamishiwe Marekani hapo nina uhakika atakuwa anaenda kila wiki....
akienda hijja asiende wewe inakuhusu nini?hayo ni mambo yamtu binafci hayapaswi kuingiliwa,ila hili swali ungemuuliza mwenyewe jk,kwa msaada chukua nambayake yasimu,ni 07*4***777 hizo nilizoacha kukupa ni Pm ntakupatia ukiwa unamaelezo yakunitosheleza.Jamani ivi ni kwanini Mh. Dr Dr Dr J.Kikwete haendi Mecca hukiji nae aitwe Alhad'j Dr Dr Dr Kikwete.
Imeniuma? kwanini? kauli yako hii "ina kuhusu nini uhusiano wa mtu na Muumba wake?" ulisahau kuwa JK ni rais wa Tanzania tuna haki ya kumjadiliImeniuma? kwanini?
Hawezi kwenda akienda utafanyaje?
Siyo msafi? - wewe mungu?
Imeniuma? kwanini? kauli yako hii "ina kuhusu nini uhusiano wa mtu na Muumba wake?" ulisahau kuwa JK ni rais wa tanzania tuna haki ya kumjadili
Hawezi kwenda akienda utafanyaje? -Atakuwa ametekeleza nguzo ya tano ya dini yake kama sikosei ila sahau JK kwenda Mecca labda ihamishiwe Marekani
Siyo msafi? - wewe mungu? - kwani mimi nataka kwenda Mecca, mimi siyo Mungu ila JK siyo msafi hata kidogo.
Imeniuma? kwanini? kauli yako hii "ina kuhusu nini uhusiano wa mtu na Muumba wake?" ulisahau kuwa JK ni rais wa tanzania tuna haki ya kumjadili
Hawezi kwenda akienda utafanyaje? -Atakuwa ametekeleza nguzo ya tano ya dini yake kama sikosei ila sahau JK kwenda Mecca labda ihamishiwe Marekani
Siyo msafi? - wewe mungu? - kwani mimi nataka kwenda Mecca, mimi siyo Mungu ila JK siyo msafi hata kidogo.