Kwa nini kabila la Wakurya bado wana mila za kizamani za kuwachagulia watoto wao wake/waume?

Kwa karne hii ya 21 sidhani kama bao tunatakiwa kukumbatia mila na destury za aina hii, sio kwa wakrya tu hata kwa makabila mengine. Hata sisi pia makabila yetu yalikuwa na mila za aina hiyo ila kwa sasa wanajamii wameelimika na wameshachana na mila hizo.

Kwa mtindo huu, familia hii haitajikomboa kutoka katika utumwa wa fikra potofu na maendeleo kwao utakuwa ni msamiati kizazi hadi kizazi.

wewe dada hujui kuheshimu mume ndio maana mnaolewa siku 2 mnaachika sasa ww umekaa na mtu miaka yote hiyo bado ulikua hujagundua kwamba hafai leo unakuja hapa kwa sentiments za tribalism...we tuache bana rudisha mtoto wetu tambaa mbele...kwanzandoa ni kati yako na mumeo, sio mama mkwe na pili wewe mwenyewe unasema kabila hili halijastarabika, sisi wakurya hatuna majungu wala uchawi, ndio maana kunatofauti ya maisha ya pwani na Mara, pale tukikosana ni tifu yanaisha nyie waswahili mpk kutoana mishipa na maneno kibao..sasa heshimu mume halafu tulia akuoe usilete hasira za kuahirishwa kwa harusi unakuja kutuandama kabila zima!!!

Mind u...Every General rule has got its exception.....
 
hii tabia ya kuongelea kabila zima wakati tatizo ni la familia ya mme wako halikubaliki. Huu ni unyanyapaa au "stereotyping" kwa lugha ya wale wafadhili mashoga. Swali sahih lingekuwa "hivi kwa nini familia ya mme wangu wana mila za kizamani hivi"?[/quo

sio familia ya mume wangu tu, bali karibu jamii nzima ya wakurya wana hizo tabia!hata kwa wale walioenda shule na wakaelimika bado wana zile chembe chembe za mila zao chafu!mnahitaji ukombozi wa kifikra!asante kwa mawazo yako.

Jaribu kupunguza jazba, kwani ukitumia hasira ulizozibeba kwa kukataliwa na wakwezo utakaribisha mapovu mengi hapa, kwani naona umeanza hadi kutumia lugha ya matusi. Hayo yaliyokukuta ni kweli yanatokea, mie ni mkurya na ninayakubali, lakini pia pengine kuna tabia fulani umewaonesha wakwezo kutokana na kaelimu hako ulikonako na wamehisi kuwa "you are not the type of a woman they would recommend kwa kijana wao".

So ungeomba ushauri jinsi gani uweze kudeal nao ili hatimaye ukubalike tungekusaidia, rather umeanza kwa kulitukana kabila zima, na zigo lako baki nalo.
 
Umurisya ono omokangi sana mura yani no obhokangi akogamba hao..wivu tu..kurya the great tribe we are proud of being kuryans..asietupenda ajinyonge...

bhuyo mbo bhohene,let them say whatever they wish,pamoja na elimu yangu kubwa kiasi,i will neva break up my traditions eti kwa vile nimesoma,by the way this woman has not been forced to get married wit mkurya,haina haja ya kuanzisha uzi ili atoe masimango yake dhidi ya kabila letu imara hapa,
 
Hii tabia ya kuongelea kabila zima wakati tatizo ni la familia ya mme wako halikubaliki. Huu ni unyanyapaa au "stereotyping" kwa lugha ya wale wafadhili mashoga. Swali sahih lingekuwa "hivi kwa nini familia ya mme wangu wana mila za kizamani hivi"?[/QUO

Sio familia ya mume wangu tu, bali karibu jamii nzima ya wakurya wana hizo tabia!Hata kwa wale walioenda shule na wakaelimika bado wana zile chembe chembe za mila zao chafu!Mnahitaji ukombozi wa kifikra!Asante kwa mawazo yako.

Acha kung'ang'ania ku generalize,me mkurya na hakuna hata mmoja wa kaka zangu watano aliyeoa mkurya,nasi karibu wasichana nane hakuna aliyeolewa na mkurya,zaidi dada yangu ameolewa na mtu wa tanga mama mkwe wake nae alikuwa anataka mwanae aoe kwao tanga ila uzuri shemeji akawa na msimamo
Hakuna binti katailiwa kwetu na this ,hii ni kwa ukoo na close family.
So na wewe ombea huyo mwenzio awe na msimamo
 
wewe dada hujui kuheshimu mume ndio maana mnaolewa siku 2 mnaachika sasa ww umekaa na mtu miaka yote hiyo bado ulikua hujagundua kwamba hafai leo unakuja hapa kwa sentiments za tribalism...we tuache bana rudisha mtoto wetu tambaa mbele...kwanzandoa ni kati yako na mumeo, sio mama mkwe na pili wewe mwenyewe unasema kabila hili halijastarabika, sisi wakurya hatuna majungu wala uchawi, ndio maana kunatofauti ya maisha ya pwani na mara, pale tukikosana ni tifu yanaisha nyie waswahili mpk kutoana mishipa na maneno kibao..sasa heshimu mume halafu tulia akuoe usilete hasira za kuahirishwa kwa harusi unakuja kutuandama kabila zima!!!

Mind u...every general rule has got its exception.....

i love u for this
 
Pole sana. Ukweli ni kwamba kuna Wakurya wengi tu ambao wameoa nje ya kabila lao na wanaishi maisha mazuri. Ila Wakurya wana ubaguzi kwa baadhi ya makabila ambayo kulingana na uzoefu wanafahamu kuwa yana matatizo katika ndoa, labda wewe ni miongoni.
 
Kwa karne hii ya 21 sidhani kama bao tunatakiwa kukumbatia mila na destury za aina hii, sio kwa wakrya tu hata kwa makabila mengine. Hata sisi pia makabila yetu yalikuwa na mila za aina hiyo ila kwa sasa wanajamii wameelimika na wameshachana na mila hizo.

Kwa mtindo huu, familia hii haitajikomboa kutoka katika utumwa wa fikra potofu na maendeleo kwao utakuwa ni msamiati kizazi hadi kizazi.

The blue and bolded statement.
Nahisi ndicho kitakukosesha mume
Una majivuno, majigambo na kiburi cha elimu, kitu ambacho kwa mwanamke "Wife material" ni rare.
So usipojirekebisha katika hili hakuna familia itakayokukubali uingie kwao
U will end up married by your ****in education and money
na Nina wasiwasi kama elimu yako kweli imekuelimisha.
 
They look like this........usually.....this is my own inlaw

600px-Kenyan_woman_%28Kuria_tribe%29.jpg


Unapaswa kujivunia kuwa na Mama Mkwe ambaye bado ana nguvu kama huyu kuliko kutoa lawama kwake. Huyo mume wako ndiye hakupendi, angekuwa anakupenda hakuna mtu ambaye angeingilia hiyo ndoa isifungwe. Kwa nini umeruhusu kukaa naye miaka 5 bila ndoa? Sasa ameisha kuchoka, ndi maana hataki ndoa. Mnaposhauriwa kuachana na UCHUMBA SUGU mnakuwa wagumu kuelewa, hiyo ndio faida yake.
 
Kwa karne hii ya 21 sidhani kama bao tunatakiwa kukumbatia mila na destury za aina hii, sio kwa wakrya tu hata kwa makabila mengine. Hata sisi pia makabila yetu yalikuwa na mila za aina hiyo ila kwa sasa wanajamii wameelimika na wameshachana na mila hizo.

Kwa mtindo huu, familia hii haitajikomboa kutoka katika utumwa wa fikra potofu na maendeleo kwao utakuwa ni msamiati kizazi hadi kizazi.

We sema ukweli watu wakupe ushauri kuliko jazba,inaonyesha hata mumeo hayupo upande wako maana angekurahisishia mambo.kabila letu hatutaki dharau and we are very proud people,ukiwa na heshima hakuna atakayekupinga kama jinsi ulivyoelezea,lazima uliwaletea ujuaji na madharau
 
i love u for this

Ha ha ha sasa tatizo mkurya bana aah na wewe hukawii kuniambia mimi mbaya...teh karibu dada uwe rafiki asee ntafurahi mana wewe utakua balozi mzuri kuwambia walimwengu sisi watu wazuri na kazi tunaweza...
 
Na kuwakeketa watoto wa kike, na kuwapiga wake zao?

Singida,Manyara,Pwani na hata warabu wanakeketa wewe mkuu unaona wakurya tu basi..kunya anye....akinya mkurya loh...mambo ya kupigana ni ya watu wote tu haijalishi kabila gani sasa wacha kuongea vitu usivyovijua....
 
Mkuu upo sahihi, coz marafiki zangu Wakyuria wameoa watu wa makabila mengine na ndoa zao zina raha sana tu!!! Kikubwa ambacho wakyuria wengi hawajakiacha ni kwamba MFUMO DUME kwao ni jadi....kila kitu lazima midume iki-ratify kwanza la sivyo utakitekeleza kuzimu na sio duniani!!! Sifa kubwa waliyo nayo ni kwamba sio wanafiki hata kidogo....always anachokiamini na matendo yake vinashabihiana.
Hii tabia ya kuongelea kabila zima wakati tatizo ni la familia ya mme wako halikubaliki. Huu ni unyanyapaa au "stereotyping" kwa lugha ya wale wafadhili mashoga. Swali sahih lingekuwa "hivi kwa nini familia ya mme wangu wana mila za kizamani hivi"?
 
pole,naona wamekuja kukushambulia....waluga luga tu hao mie nawajua vizuri,ila na wewe ulikosea ulitakiwa ufuate A B C.... kumjua huyo mwanaume,kujitambulisha kwao ndio uishi naye lastly uzae nae,wewe umeanza na kuishi naye na kuzaa naye,hujafuata mlolongo unavyotakiwa imekula kwako....hata hivyo bora umemuepuka mwanaume wa kikurya wanaongoza kwa kuwa na nyumba ndogo na nyumba za mitala na ni wanyanyasaji wa wanawake hata kama wamesoma vipi.......
 
mambo mengine yanakera sana wandugu! Kila siku unalalamikia kitu kile kile,halafu huchukui hatua,
niwashauri tu wanawake wote ambao sio wakurya kuwa,mara tu unapogundua kuwa mwenzi wako ni mkurya mpotezee,ili muishi kwa amani na hao mnaoamini ni wastaarabu,sisi tutaona wenyewe kwa wenyewe,ndo tutaelewana make wote mila zetu tunakuwa tupo aware nazo,
 
Ha ha ha sasa tatizo mkurya bana aah na wewe hukawii kuniambia mimi mbaya...teh karibu dada uwe rafiki asee ntafurahi mana wewe utakua balozi mzuri kuwambia walimwengu sisi watu wazuri na kazi tunaweza...

Uni nu mukurya nde mura weito tena intina. Na nina bf asiye mkurya, natambua kabisa kuwa kuna mila ambazo hata kwa makabila mengine ni ngumu kuzichange. Mbona hata wachaga na wahaya bado wanapenda watoto wao waoane wao kwa wao? Sema kwa sasa karibu makabila yote wame elimika juu ya hili. Ila ninachoamini huyu binti ana jeuri ya elimu aliyonayo na hivyo hata aende wapi kwa tabia hiyo hatokubalika kamwe.

tumethubutu, tumeweza na turudi nyuma.....JK
 
Uni nu mukurya nde mura weito tena intina. Na nina bf asiye mkurya, natambua kabisa kuwa kuna mila ambazo hata kwa makabila mengine ni ngumu kuzichange. Mbona hata wachaga na wahaya bado wanapenda watoto wao waoane wao kwa wao? Sema kwa sasa karibu makabila yote wame elimika juu ya hili. Ila ninachoamini huyu binti ana jeuri ya elimu aliyonayo na hivyo hata aende wapi kwa tabia hiyo hatokubalika kamwe.

tumethubutu, tumeweza na turudi nyuma.....JK

Naungana na wewe na namshauri walimweusi aseme tu amewafanya nini wakwe na mchumba ili tuweze kumshauri,maana kama ndoa ilikuwa mwisho wa mwaka means process za mahali na utambulisho zilishaisha,hapo katikati lazima amefanya jambo hadi amekataliw
 
Tata wani,ntakurujiri mwanawetu..we walimweusi,acha kukashifu kabila za watu bana,my dady ni mkurya nd my mumy ni mchagga,mbona mambo yanaenda fresh.mayb we mwenyewe utakua na matatzo so ka vip jiangalie kwanza kabla ya kuanza kuponda.over
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom