Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Haikumbukwi ni lini mara ya mwisho JK alikwenda Visiwani kama ziara ya kutembelea maeneo yaliyo chini ya utawala wake. Kwa nini anaogopa kwenda Visiwani?
Aende Zanzibar kufanya nini? Hawezi kwenda kwa sababu haku mabembea wala magari ya farasi. Pia kaambiwa hakuna watengeneza jezi!Haikumbukwi ni lini mara ya mwisho JK alikwenda Visiwani kama ziara ya kutembelea maeneo yaliyo chini ya utawala wake. Kwa nini anaogopa kwenda Visiwani?
Mkuu, sina uhakika iwapo JK anatawala Znz vile vile. Hii ni kwa sababu hafanyi uteuzi wowote unaoihusu znz ukianzia wakuu wa mikoa, wilaya, mawaziri nk. Hivyo hana sababu ya kwenda huko maana hakuna yeyote atakayemtetemekea.Haikumbukwi ni lini mara ya mwisho JK alikwenda Visiwani kama ziara ya kutembelea maeneo yaliyo chini ya utawala wake. Kwa nini anaogopa kwenda Visiwani?
Mkuu, sina uhakika iwapo JK anatawala Znz vile vile. Hii ni kwa sababu hafanyi uteuzi wowote unaoihusu znz ukianzia wakuu wa mikoa, wilaya, mawaziri nk. Hivyo hana sababu ya kwenda huko maana hakuna yeyote atakayemtetemekea.
Mkuu, sina uhakika iwapo JK anatawala Znz vile vile. Hii ni kwa sababu hafanyi uteuzi wowote unaoihusu znz ukianzia wakuu wa mikoa, wilaya, mawaziri nk. Hivyo hana sababu ya kwenda huko maana hakuna yeyote atakayemtetemekea.
Mkuu, sina uhakika iwapo JK anatawala Znz vile vile. Hii ni kwa sababu hafanyi uteuzi wowote unaoihusu znz ukianzia wakuu wa mikoa, wilaya, mawaziri nk. Hivyo hana sababu ya kwenda huko maana hakuna yeyote atakayemtetemekea.