republicoftabora
Member
- May 9, 2012
- 59
- 15
ingependeza akawa anaenda sana nchi za Asia akawatembelee South East Asia, India, China, Russia na kadhalika ili kuwepo balance of power. Si nchi imehodhiwa na nchi za west.
zomba umemsikia huyu asiyesadifika na wala kusarifika!!Waarabu hawana utamaduni wa kusaidia watu wasio kama wao. Kwasababu safari nyingi ni za omba omba hawzi kwenda uarabuni kwni hawatoi kitu zaidi ya chai na msaada wa kujenga misikiti!! Norway nchi ndoto inasaidia kuliko Saudi Arabia, Japan inasaidia Tanzania kuliko Saudi, UAE combined. Umewahi kusikia lini msaada wa budget kutoka Saudi, Oman au UAE ??? Tanzania bado inatgemea misaada na JK anaendaka kusanya
Uarabuni tunakutana nao Loliondo tunawapa Twiga wanaenda zaokwani cameroon yupo uarabuni,cameron ndo anapanga miting place kwa ajili ya mambo yaleeeeee.
jumatatu anaenda mascat. najua unalijua hili!
jumatatu anaenda mascat. najua unalijua hili!
Ulaya waliwachukua mababu zetu kama watumwa ila leo tunawaona akina 50 cent,black americans kibao,,lakini waliochukuliwa na waarabu mbona hatuwaoni?ama na wenyewe waligeuka waarabu?
Ulaya waliwachukua mababu zetu kama watumwa ila leo tunawaona akina 50 cent,black americans kibao,,lakini waliochukuliwa na waarabu mbona hatuwaoni?ama na wenyewe waligeuka waarabu?
Waarabu hawana utamaduni wa kusaidia watu wasio kama wao. Kwasababu safari nyingi ni za omba omba hawzi kwenda uarabuni kwni hawatoi kitu zaidi ya chai na msaada wa kujenga misikiti!! Norway nchi ndoto inasaidia kuliko Saudi Arabia, Japan inasaidia Tanzania kuliko Saudi, UAE combined. Umewahi kusikia lini msaada wa budget kutoka Saudi, Oman au UAE ??? Tanzania bado inatgemea misaada na JK anaendaka kusanya